Uko vipi na mama mkwe wako?

Hata sikumbuki mara ya mwisho tumeongea mwaka gani kwa simu.
labda akija kwangu au nikienda kwake na lazima kuwe na shida ya maana labda ugonjwa au msiba vinginevyo hatuna mazoea na haitatokea kwa mila za kabila langu.

Baba mkwe tumeongea kwenye simu mara ya mwisho ilikuwa mwezi Juni mwaka huu
 
Mama mkwe kapata mkwe muhuni[emoji51]
 

Shukrani mkuu
Nimekuelewa
 

Sawa mkuu
Huwezi kuwa sawa kila wakati ndomana tunajifunza kutoka kwa watu wengine.
Nimekuelewa mkuu
Shukrani
 
Kwa hiyo kwa akili zako, unadhani wewe unaelewa sana haya mambo kuliko mama mkwe wako?

Ndio maana vijana wengi ndoa zinawawia ngumu, hamjui mipaka yenu.

Saiv najua mkuu
 
Mi na mama mkwe wangu ukitukuta utadhani mi ni mwanae...

Yaani ananijali mpaka basi...

Nampenda mama mkwe wangu...


Yesu naomba uzidi kunipa kibali kwake...
 
Wewe hay Sule hujui mipaka yako na mama mkwe wako awe Mwiraqw au kabila ingine?! Unataka ushikaji na mama mkwe ili iweje? Pumbafu yako, pumbafu ya wazazi waliokulea😡😡😡
 
Wewe hay Sule hujui mipaka yako na mama mkwe wako awe Mwiraqw au kabila ingine?! Unataka ushikaji na mama mkwe ili iweje? Pumbafu yako, pumbafu ya wazazi waliokulea[emoji35][emoji35][emoji35]

[emoji30][emoji30][emoji30][emoji30][emoji30]
 
Sikumbuki ilikuwaje lakini naishi naye vizuri sana, ni kama mama angu mzazi kabisa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…