Uko vipi na mama mkwe wako?

Sasa si ndio vizuri akiwa anakuheshimu hivyo?

Sent from my V1901A using JamiiForums mobile app
 

Ni vizuri kujifunza.
Nimeelewa
 
Ebhana nimeoa familia yenye watoto wakike tu kwahyo mama mkwe aliniambia kabisa kuanzia leo ww ni mwanangu wa kiume nakukaribisha kwenye familia kama nimepata mtoto wa kiume kwahyo kuna mambo mengi tunashirikishana ila cha msingi kuheshimu mipaka kama ilivyo kwa mama yangu ndivyo ninavyofanya kwa mama mkwe
 

Ndio na mimi ninachotaka yaani mimi kuwa kama sehemu ya familia.

Lakini mtazamo wa wengi wanasema si vyema.

Nimewaelewa na nitaenda na hilo cos inawezekana na mama mkwe nae ana mtazamo huo.
 
Ndio na mimi ninachotaka yaani mimi kuwa kama sehemu ya familia.

Lakini mtazamo wa wengi wanasema si vyema.

Nimewaelewa na nitaenda na hilo cos inawezekana na mama mkwe nae ana mtazamo huo.
Hasa familia zisizo na mtoto wa kiume au unakuta mtoto wa kiume alishakata kamba ww ndio unakua kama mtoto wa mama mkwe na kama unamambo yalionyooka(unajielewa) inakua faraja kwake
 
Mleta mada huo ukaribu unao usema unapatikana huko, uwanja wa fisi, tandale kwa mwajuma ndala ndefu, na goba kwa Halima peku peku, na sehemu nyingi kama hizo

Sent from my Infinix X655C using JamiiForums mobile app
 


Wewe kaa na Mama mkwe kama alivyo, achana na Phantasy za kihuni za mtaani, Heshima toka kwa Mama mkwe ni sawa.

Na hao wa Mama Mkwe hawana maana, usiwatilie maanani, bado una safari ndefu sana ngumu naye.

Kaa kwa machale, la sivyo ukijidai na bla bla utavuruga mambo yako kwa kupambana na ukweni.
 
Mama mkwe yeyeto asiyenufaika na ndoa ya bintie anayo chance ya kuibomoa ndoa ya bintie
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…