Vavene Jomba, hulongu.Mapembelo vhavene
Makete sijawahi fika though mzazi mmja ana asili ya huko kwa babu zake but huduma zote zinapatikana I never heard about them complaining be in makete.
Mwisho wa mwaka inabd nipate trip na mm kwenda huko kwa kina Binamu .
Huko hadi hotel zipo hapa wakinga hawajazingua kinachotafutwa kkoo na kule knaenda makete kama uswiswi tu [emoji16][emoji16]
Wewe huwezi kujidanganya mimi! Tatizo la Dar ili uweze kumfanya uwekezaji unahitaji mataji mkubwa kutokana na Gharama za kuanzisha investment! Mimi nimekaa kidogo njombe na Kahama nakuhakikishia vijana wa njombe na kahama wanawazidi mbali sana vijana wa Dar!Kutoboa unaweza ila ni long time investment ,DSM pesa ni
( easy come,easy go)
Only those with highly monetary discipline can be successful.
Tofauti na mkoa matumizi ya pesa ni madogo ,na generative income ni ndogo pia .
Yeah,makete pako bomba sana kama Upo DSM nafkri unaona namna wanavyopambania nyumban kwa vyama vyao matajiri wanajenga shule, hospital na miradi mingne bla kutegemea serikal hata nyumba zao au za wazaz wao ni nzuri uko Bush lakn unastay at ur comfort zone like Upo town.Makete kuna Investment za kutoshaVavene Jomba, hulongu.
Mimi nipo Dar es Salaam nina miaka zaidi ya 10 sijaenda Njombe.
Kweli kabisa uzi uishie hapa inatosha kisema kwamba mtafutaji atatafuta popote na ataenjoy ila magoli kipa lazima waone maisha ya dar mazuri kwakua wanaletewaWengine wapo dar wameolewa,hawajui ugumu wa maisha,
Wewe huwezi kujidanganya mimi! Tatizo la Dar ili uweze kumfanya uwekezaji unahitaji mataji mkubwa kutokana na Gharama za kuanzisha investment! Mimi nimekaa kidogo njombe na Kahama nakuhakikishia vijana wa njombe na kahama wanawazidi mbali sana vijana wa Dar!
Tembea ujionee ndo maana na Mo Dewji alisema vijana walioko Dar wanauwezo ndogo sana wa Uchimi ukilinganisha na mkoani!
😁😁 karibuni sana mjomba mje mjaribu kua magolikipa ,tuone wanaowaletea ni kina NaniKweli kabisa uzi uishie hapa inatosha kisema kwamba mtafutaji atatafuta popote na ataenjoy ila magoli kipa lazima waone maisha ya dar mazuri kwakua wanaletewa
Wewe kwa akili zako za kidalali na ganji hutatoboa! Na unaposema sitimbi mi nkushangaa! Saizi hata mikoani huko poa tu! Mtu akiwa Arusha,Mwanza au Mbeya unaweza kusema yuko sitimbi? Dar wanaofeli ni wengi kuliko wanaotoboa!Then we come to monetary discipline, mtaji sio tatzo kuna madalali ambao hawana ofisi wa shinda nje ya maduka but wanapiga hadi ganji za million kwa sku hadi zaidi japo sio every day
Wengi wamekosa nidhamu ya pesa sababu ya starehe
Kama umekaa DSM and unaijua vzuri kkoo basi sio mgeni wa nnachokisema na wingas au madalali ndo mtaji wa maboss sasa #MALIKAULI mtu wangu
Usipoumiza akili huku lazima uchoshe mwili urudi kwenu sigimbi ukalimeeee weeee uvune ndo upate mtaji urudi mjini
Pole sana ila nikukaribishe kigamboni. Sio kila alieko hapa mjini lazima awaponde walioko mkoa. Huenda unakula kwa shemeji unakaza mishipa kuchakaza keyboard😂😂😂😁😁 karibuni sana mjomba mje mjaribu kua magolikipa ,tuone wanaowaletea ni kina Nani
Lastly I can say DSM watu wapo busy 24/7 nyinyi wa sinjilili mnaishi kwa story tu kuhusu DSM hamuijui vzuri
Kama unaijua vzuri prove hapa point yako utueleze ni kwa namna gani magolikipa wanaletewa.
Au ndo point yeboyebo za watu wa mkoa
Na hakuna mji wenye watu maskini kama dsm unaposema watu wako busy 24/7 ukumbuke ni wale wenye mipango yao na sio ww usije ukajilinganisha na hao wapambanaji. Hata akili yako inaonyesha bado huna cha kupambania😁😁 karibuni sana mjomba mje mjaribu kua magolikipa ,tuone wanaowaletea ni kina Nani
Lastly I can say DSM watu wapo busy 24/7 nyinyi wa sinjilili mnaishi kwa story tu kuhusu DSM hamuijui vzuri
Kama unaijua vzuri prove hapa point yako utueleze ni kwa namna gani magolikipa wanaletewa.
Au ndo point yeboyebo za watu wa mkoa
Yaani Huyu jamaa ana generalize kana kwamba Dar ndo sehemu pekee watu wana hela na biashara kubwa!Pole sana ila nikukaribishe kigamboni. Sio kila alieko hapa mjini lazima awaponde walioko mkoa. Huenda unakula kwa shemeji unakaza mishipa kuchakaza keyboard😂😂😂
Si umeona mliozoea kuja mjini kwa Dada Zenu,mnakua mnaleta personal attacksPole sana ila nikukaribishe kigamboni. Sio kila alieko hapa mjini lazima awaponde walioko mkoa. Huenda unakula kwa shemeji unakaza mishipa kuchakaza keyboard😂😂😂
I'm always busy sijabahatka kuishi dunia ya kutapatapa all time. Nikiwa DSM mpka sometimes nataman npate hata wiki moja nkapumzke nkuulize unafanya shughuli gani dar es salaam?Na hakuna mji wenye watu maskini kama dsm unaposema watu wako busy 24/7 ukumbuke ni wale wenye mipango yao na sio ww usije ukajilinganisha na hao wapambanaji. Hata akili yako inaonyesha bado huna cha kupambania
Muulize kama Dar anaweza kupata "Planter" inayoweza kusindikizwa na DJ wa ukweli!!!Usilazimishe hisia na fikra zako zifanane na za wengine... tupo nje ya Dar na tunaenjoy....
Mbona povu arifu upo kishapu niniSasa mliolewa dar mtapemdaje mkoa?
Wafirwaji dar mnalipwa vizuri huku mkoa utafirwa na hutapata faida kwann kusiwe kutamu dar?
Hahaha acha shoboSi umeona mliozoea kuja mjini kwa Dada Zenu,mnakua mnaleta personal attacks
Hahahaaa,asante boss wangu no hard feelings, kigamboni sehemu gani mkuu maan now nipo mkoa ili nikirudi nikutembelee
Binafsi mimi Dar siipendi kabisa.Ninapenda sehemu tulivu niishi kama Rungwe kule au Kigoma mjini pale karibu kabisa na ziwa Tanganyika.Kuna watu wanaishi Tanzania moja ya nchi duni kabisa duniani, sasa badala angalau wawe DSM waenjoy raha za dunia. Unakuta mtu anaishi Nkasi au Tandahimba huko na bado ana elimu angalau ya chuo kikuu.
Mimi kukaa hapa DSM tu naona kama najikatili, nyie huko mikoani mnawezaje?
Sent using Jamii Forums mobile app
Na hakuna mji wenye watu maskini kama dsm unaposema watu wako busy 24/7 ukumbuke ni wale wenye mipango yao na sio ww usije ukajilinganisha na hao wapambanaji. Hata akili yako inaonyesha bado huna cha kupambania
Kuna watu wanaishi Tanzania moja ya nchi duni kabisa duniani, sasa badala angalau wawe DSM waenjoy raha za dunia. Unakuta mtu anaishi Nkasi au Tandahimba huko na bado ana elimu angalau ya chuo kikuu.
Mimi kukaa hapa DSM tu naona kama najikatili, nyie huko mikoani mnawezaje?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha ww kuwa busy kuskiliza dada ako akiguguna chumbani. Kuhusu shughuli nipo nipo tu na si vyema kujua kwakua ww upo busy 24/7I'm always busy sijabahatka kuishi dunia ya kutapatapa all time. Nikiwa DSM mpka sometimes nataman npate hata wiki moja nkapumzke nkuulize unafanya shughuli gani dar es salaam?