Ukiwahi ofisini alfajiri kuna mambo!

Ukiwahi ofisini alfajiri kuna mambo!

Amalize wapi teh siafu washafanya yao hakuna cha kumaliza, tushasambaratishwa hivo
Hahahhaa uandishi wako wa hili tukio Hahahahha ungekua unatoka Tanga Ningejua ni wewe, Ila Mimi mhusika wangu Sidhani kama ni member humu. Yaani ile amelaza Kanga tu chini, Kidume nimeshavua pensi nimeshikilia bunduki kuelekeza eneo la tukio, lahaula ni Siafu wa kufa mtu!! Sitakaa nisahau, ninavyoandika hapa ni kama vile naliona kabisa lile tukio
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom