Ukiwahi ofisini alfajiri kuna mambo!

Ukiwahi ofisini alfajiri kuna mambo!

Hahahhaa uandishi wako wa hili tukio Hahahahha ungekua unatoka Tanga Ningejua ni wewe, Ila Mimi mhusika wangu Sidhani kama ni member humu. Yaani ile amelaza Kanga tu chini, Kidume nimeshavua pensi nimeshikilia bunduki kuelekeza eneo la tukio, lahaula ni Siafu wa kufa mtu!! Sitakaa nisahau, ninavyoandika hapa ni kama vile naliona kabisa lile tukio
Hahahaha msituni unavuaje nguo zote mkuu[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] kama nakuonaa ulivyowamaind siafu
 
Kuna wakati watu hutengeneza mabalaa ofisini mwao bila wao kujua.

Kabla hayajawafika, mnaweza msijue ila ni hatari sana kwa afya ya kazi yako.

Ni makosa ofisi kuigeuza danguro.
 
Kuna wakati watu hutengeneza mabalaa ofisini mwao bila wao kujua.

Kabla hayajawafika, mnaweza msijue ila ni hatari sana kwa afya ya kazi yako.

Ni makosa ofisi kuigeuza danguro.
Saaaana na ni mikosi kazini khaaa
 
Hapana aisee siafu ni habari nyingine. Hapo utamu unachukua nafasi ya pili ya kwanza ni kujisalimisha na siafu.
[emoji3] [emoji3] wanaume walivyo utsikiaa njoo tujamiee sehemu nyingine
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Na ndo cheap duniaa nzima hakunaa yaaan vinapenda kujishauaa balaaa na kubana visuruali wanaliwa saana na wababu [emoji23] [emoji23]
Kwakweli tunavikwepa sana Du! Yani vipo online halafu vidogo vidogo. Kifupi ni kujicontrol tu sehem za kazi... Ukiona mambo yamebana sana unamtafuta mambembe[emoji85]
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Back
Top Bottom