G.25
JF-Expert Member
- Jun 12, 2013
- 1,788
- 1,966
Hakuna raha kama kufanya mapenzi ya mwendokasi! Hayaishi ham" kwenye corridor ndefu na kuna corridor fupi mwishoni kabla hujafika toileti kuna sink LA kunawia mikono, hapo sasa!
Timing ni kusikiliza kama kuna hatua za mtu zinakuja!
Na ni muda wa kazi, dk 3 umeshamaliza kila kitu!
Mkitoka lunch tena unamtext~
M: sweetie nimeshiba najiskia uchovu hata sijielewi
F: tunafanyaje? Mi nakuskiliza ww!
M: njoo pale kwenye sink tuongee kdg.
F: sasa ivi?
M: ndio, nipo nakusubiri.
F: haya nakuja.
Timing ni kusikiliza kama kuna hatua za mtu zinakuja!
Na ni muda wa kazi, dk 3 umeshamaliza kila kitu!
Mkitoka lunch tena unamtext~
M: sweetie nimeshiba najiskia uchovu hata sijielewi
F: tunafanyaje? Mi nakuskiliza ww!
M: njoo pale kwenye sink tuongee kdg.
F: sasa ivi?
M: ndio, nipo nakusubiri.
F: haya nakuja.
