Ukiwahi ofisini alfajiri kuna mambo!

Ukiwahi ofisini alfajiri kuna mambo!

I hope jamaa alimaliza LoL! Kama nakuona vile ukitoka mkuku huku jeans likiwa chini ya magoti huku ukijitahidi kulipandisha pamoja na picchu🙂🙂
Amalize wapi teh siafu washafanya yao hakuna cha kumaliza, tushasambaratishwa hivo
 
promotion ni haki ya mfanyakazi sasa ukimnyima lazima akaitafute kwa sir Ngoma au Kwa Sir god
 
I dnt want to try was jst askin ,coz from wht i knw atleast nshajaribu cockatil ya amarula na konyagi na it was sooooooo mwaaaaaaaaaaaaaaha
Like u its so mwaaaaaaahhhh

Mwaaaaaahh in ur lips

Waiter zungusha tena Bapa na Dompo
 
Hahahahaha siafu wasimamisha shughuli za kupeana utamu. Chezeya siafu weye! 🙂🙂

Amalize wapi teh siafu washafanya yao hakuna cha kumaliza, tushasambaratishwa hivo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom