Ukiwahi ofisini alfajiri kuna mambo!

Ukiwahi ofisini alfajiri kuna mambo!

Inategemea mko mazingira gani. Kuna mazingira mengine yanashawishi balaa hasa mkibaki wawili mida ya asubuhi au jioni usiku manapoondoka. Mi sijawahi lakini ...
Ningekua nshaliwa!!
Nshazipanchi sana hizoo!

Najihami mnoo!!nadefence mwanzo mwishoo!!napaki basi kama Mourinho!
 
Humu JF kila mtu ni mlokole, hakuna wanaume wanaohonga, hakuna wanawake wanaofanyia ofisini, hakuna ...

Huwa najiuliza sana, hawa wa humu wanatoka sayari gani?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] wapo sana na wanakiri wenyewe sema hujawahi shuhudia confession zao
 
Back
Top Bottom