Ukiwahi ofisini alfajiri kuna mambo!

Ukiwahi ofisini alfajiri kuna mambo!

Me wananikera huku kwenye whatsapp na status zao anakopi mistari kumi ya bible anapaste kwenye status,unabaki unaangalia unasema hiiiiiiiiii!!
Hahahaha mtuacheeee
 
Tena asilimia kubwa wale wanaowahi kufanya usafi ndo hufanyiziwa sana hayo mambo
Mi nawaoneaa huruma wadada wa usafi wanadanganyika saana kirahisi maskini na wanajuaa kujipodoaa balaaa bad enough vinajikutaga navyo vimo etii
 
Tena nawaambiaga nyie hapa kazini nawaona kama kaka zangu so don't expect a thing from me especially love issues!

Maana wengine hawana haya hata kidogo!
Inategemea mko mazingira gani. Kuna mazingira mengine yanashawishi balaa hasa mkibaki wawili mida ya asubuhi au jioni usiku manapoondoka. Mi sijawahi lakini ...
 
Inategemea mko mazingira gani. Kuna mazingira mengine yanashawishi balaa hasa mkibaki wawili mida ya asubuhi au jioni usiku manapoondoka. Mi sijawahi lakini ...
Eti mi sijawah lakin ...unajihami eeehee
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom