Dah kwenye gari kwa Dar unaenda parking lot unamlipa Mlinzi na unamwambia kabisaaaa! Kisha unawasha gari, AC full unaendelea na kazi huku Nje Mlinzi anawalinda!! Hadi raha, ukimaliza unampa buku mbili Mlinzi unaishia zakoIlaa uwe na moyo tena hiyo ya chooni kwakweli i cant.....atleast ya kwenye gari though nayo sio nzuri
hahahaKalimwaga lote mezani
Weeeee wafanyakazi wengi Sana wanamalizia kufanya chooni wakati wa lunch au jioni wakati wa kutokaIlaa uwe na moyo tena hiyo ya chooni kwakweli i cant.....atleast ya kwenye gari though nayo sio nzuri
Mambembe katika ubora wako. Mbona haina shida hiyo?Naombeni kwa mlio elewa hii picha mnitafsirie........View attachment 776371
Tena nawaambiaga nyie hapa kazini nawaona kama kaka zangu so don't expect a thing from me especially love issues!Yaaan mimi ndo nikishagoma kabisaa na mfanyakazi mwenzangu ni big No
Wewe Ke au Me?Hivi watu wanawezaje kufanya mapenzi ofisini??
Kumbeee?!!hatariiWeeeee wafanyakazi wengi Sana wanamalizia kufanya chooni wakati wa lunch au jioni wakati wa kutoka
Nmefanya utaft, nikagundua mwanaume kufanya mapenzi mahali sio sahihi uhondo huongezeka maradufu!Doooh hata msibani??hapana kwakweli
Alafu ukiwa serious ndo wanaletaa mzaha yaan ukimpa mmoja jua ofisi heshima inashukaaTena nawaambiaga nyie hapa kazini nawaona kama kaka zangu so don't expect a thing from me especially love issues!
Maana wengine hawana haya hata kidogo!
Huamini?Kumbeee?!!hatarii
Me wananikera huku kwenye whatsapp na status zao anakopi mistari kumi ya bible anapaste kwenye status,unabaki unaangalia unasema hiiiiiiiiii!!Wanawake wana siri nyingi....
Akipata promo hapo...ni mastatus ya kumsifu Bwana tu...
Hahaaha....msifu Bosii

Hahahaha chupi inajisokotaaa balaaaa
Yes its true ilaa jamaan kwenye msibaa sasa hii ni too much khaaaa ......bora mkafanyiee huko migombani ila wanaune hawana subra akili zai zikisha rudi huko chiniNmefanya utaft, nikagundua mwanaume kufanya mapenzi mahali sio sahihi uhondo huongezeka maradufu!
Yaani Ku sex pale unapohtaji utamu unakuwa wa hali ya juu kuliko mkpanga muende mahala Fulani
Kwanza siwezi na mawivu haya ya kuzaliwa nayoo!!Alafu ukiwa serious ndo wanaletaa mzaha yaan ukimpa mmoja jua ofisi heshima inashukaa
Mmmh uwe na moyo kweli.maeneo ya ofisini kwakweli huwezi kunikuta nafanya ujingaa hata siku mojaa na wala sinaga masiahara na mtu mpaka nikafikie huko