Ukiwa Tanga usiwe na haraka

Ukiwa Tanga usiwe na haraka

Nimewahi kuishi Tanga miaka ya nyuma.
Haya mambo yaliyoandikwa hapa jukwaani yapo japo mengine machache yameongezewa chumvi kidogo.
Ushirikina, uvivu, uswahili swahili haya mambo yapo.
Nimeishi Nguvumali, ilikuwa ni kawaida kukuta mtu kapasua vifuu vya nazi na mayai viza katikati ya mji hasa pale kwenye mataa - Mwembe mawazo!
Hata Mimi nimekaa sana nguvumali hayo mambo yapo

Hasa Hasa kule kagera ,na mwambioni na kisosora

Huko ulozi laivu usmkorofishe mtu

Mkila wali daily wanawavimbisha tumbo

Mambo mengi anayosema mleta mada Yana ukweli Kama ulijimix na watu vizuri utayashuhudia mengine makubwa zaidi

Ila Tanga kutamu nyie niliwahi pewa Uno chotara la kidigo na kiluguru duuh sijawahi pata Mimi
 
Nachopendea Tanga bado wana maisha ya asili sana. Nilipita huko mwanzon mwa mwaka nikashangaa kukuta bado usafiri wa baiskeli unatumika. Sikujivunga nikapanda kutoka kule baharini/bandarini hadi huku kwenye makazi ya watu. Jamaa wako kihalisia sana.
 
Tanga nilipata mpaka supu ya Jerooo...Chapati 200 yani maisha cheap sana!! Japo kiukweli wadada wengi ni Wabayaa hasa wanaojiuzaa pale Maeneo ya Chichi club shidaa tu
 
Msambweni, Magaoni, Donge, sahare, Nguvumali, Mwembe mawazo, Kwa minchi, Chuda, Duga, Mwahako, Mwakidila, Tangasisi, Kange, Maweni, Majani mapana, Mwamboni, Mikanjuni, Mwang'ombe, Mwanzange, Magomeni, Masiwani, Kichangani, Kasera, Pongwe, Mgandini, Forodhani, Bombo area, Kilapula, Mkulumuzi, Amboni, Maramba, Mabokweni, Machui, Chongoleani, Mbugani, Ngamiani, Tangamano, Makorora, Raskazone
 
Baada ya kuingia Tanga nikapata na lodge maeneo ya Sahare. Nikamtafuta bodaboda anipeleke kwenye "Wajasirimali" akanipeleka City centre ilipokua La Cassa Chika club karibu na posta/soko daah mademu wazee na wabovu sana japo jamaa aliwasifia kishenzi. Baadae anazuga ooh Leo hawajaja mademu wakali. Akadai Basi twende Pongwe (yapata 15kms eti Kuna mademu wa kisomali) Nilikataa kulipia boda kwa ujinga wake na kunipotezea muda. #Sitaki_ujinga#
Hizi ulizofanya ni haraka.
Njoo tanga, tafuta rafiki nendeni tangamano mkatege siku ya soko, unajichagulia mchana kweupeeee, mwenye tako, mwenye singa, mwenye mguu, mwenye rangi, mwenye jicho, kazi kwako.
Sasa wewe waenda usiku kwenye majumba ya anasa, utakuja kutia majini na mashetwani mjaalana wewe uje useme tanga chungu kumbe uhanix wako
 
Tanga nilipata mpaka supu ya Jerooo...Chapati 200 yani maisha cheap sana!! Japo kiukweli wadada wengi ni Wabayaa hasa wanaojiuzaa pale Maeneo ya Chichi club shidaa tu
Tanga ukienda kwenye sehemu za anasa kama Chichi hupati totoz nzuri

Totoz nyingi zipo mtaani, maeneo kama beach kule Raskazone au Tanga beach hotel wanapapenda sana kwenda haswa weekend na siku za sikukuu, tangamano siku za manunuzi
 
Hata hapo Dar hayo mambo yapo.
Inamaana Kaka hujawahi kufika Buza kwa Mpalange ? Hayo mambo hata Musoma nimeyakuta. Hata wakurrya miraba minne wanakamata kuta za nyumba kwa ridhaa zao kwa ujira mdogo tu.
Msiwapakazie wa Tanga
Buza kwa mpalange ndo wapi hebu funguka kidogo
 
Katika TANZANIA Same na Mwanga ndiko waliko wanawake wenye mioyo safi.
Narudia tena, ukibisha nenda ujionee.
Same noma aisee kuna siku nilimkuta dada barabarani nikamwambia anioneshe wanapouza supu nzuri akaingia ndani ya gari huwezi amini alihailisha mambo yake yote baada ya kunywa supu nikaenda kumla kimasihara sema gari yenyewe ilikua V8 ndio mana alichachawa wakati ni STK wala sio langu
 
Back
Top Bottom