Ukiwa Tanga usiwe na haraka

Ukiwa Tanga usiwe na haraka

Duka la wapi!??......maana Kama liko katikati ya mji kwann asifunge jioni awahi nyumbani!???....unataka achelewe kufunga umuibie!??? Wengine hufanya kwa sababu za kiusalama hasa maduka ya jumla.

Ila kwa maduka ya mtaani yapo Kama kawaida hadi night Kali.Swala la kusema eti mgandini Kuna milikiwa na wageni inamaana wasambaa ni wakazi kutoka wap!???......maana sijakuelewa kabisa mkuu!
Maduka yote bara bara ya jamaa yanafunguliwa saa 3 na kufungwa saa 9 au 11 jioni.
Pale nyama choma bara bara ya 11 mpaka saa 3 ndio upate chai, na saa tisa hakuna chakula.
Wasambaa wana asili ya Lushoto, wadigo wana asili ya Tanga Mjini. Tulitegemea wadigo washike sehemu kubwa ya biashara.
 
Niko apa barabaya ya 12 stend ya zamani napata gahawa kashata afu sina story
 
Maduka yote bara bara ya jamaa yanafunguliwa saa 3 na kufungwa saa 9 au 11 jioni.
Pale nyama choma bara bara ya 11 mpaka saa 3 ndio upate chai, na saa tisa hakuna chakula.
Wasambaa wana asili ya Lushoto, wadigo wana asili ya Tanga Mjini. Tulitegemea wadigo washike sehemu kubwa ya biashara.
Pata muda ufike Tanga mkuu maana wazawa tunashangaa kwa hili swala, na ingekua hvyo basi watumishi wa serikali wangechelewa makazini pia ikiwa huduma za kijamii zinachelewa kuanza!

Kazi zote hutegemeana maana kama konda wa daladala akiamka saa 10 ama kumi na moja kuanza shughuli zake ingekua ni vigumu kustahimili bila kupasha mpaka saa 4 unayosemea akipigizana makelele na abiria wake!

Pata muda utafakari unayoongea usilazimishe vistori ulivyosikia kuhusu Tanga viwe ukweli!
 
Ila Tanga kwa umwinyi hapana,mfanyabiashara wa hapa akienda Moshi, Arusha atalia na kusaga meno
Mbona wasambaa wamejazana hapa Arusha na Moshi unaposemea!!??.....au ukisikia watanga unaona ni wapemba mkuu!??
 
Ntawapa mrejesho ndo nafanya registration muda huu kwenye huu mji ila siku zote haujawai nifanyia maajabu yale ninayoyaona mitandaoni tukutane Tanga pazuri
 
Ntawapa mrejesho ndo nafanya registration muda huu kwenye huu mji ila siku zote haujawai nifanyia maajabu yale ninayoyaona mitandaoni tukutane Tanga pazuri
ongeeni nawenyeji wawaonyesha mji
 
Zanzibar ni hivyo hivyo. Nahisi watu wa pwani ni uvivu umewajaa. Nilikua nakasirika nikiamka asubuhi kwenda dukani nakuta maduka yamefungwa mpaka saa 4 ,5 ndo wanafungua maduka.
Hivi inakuwaje watu wa Tanga wasifiwe uvivu wakati wanalisha machungwa nchi nzima au inalima misukule? Nimeishi Dar matunda huponea kutoka Tanga tena huwa hayaishi, jamani sijawahi kufika tanga mda huu nakula chungwa la Tanga, hapa njombe kila kona ni machungwa ya Tanga.Sasa matunda ya Tanga yanalimwa na Zombies tueleweshane nini maana ya uvivu.
 
Kupayuka kunahitajika sauti.......karibu Tanga maana naona mnashindwa kutofautisha kati ya Tanga na Unguja!!
Nikaribie vipi ,shehe inaelekea walimu wako wa msingi walivunja Sana rula kichwani mwako kwa ugumu wa uwelewa
 
  • Thanks
Reactions: Cyb
Hivi inakuwaje watu wa Tanga wasifiwe uvivu wakati wanalisha machungwa nchi nzima au inalima misukule? Nimeishi Dar matunda huponea kutoka Tanga tena huwa hayaishi, jamani sijawahi kufika tanga mda huu nakula chungwa la Tanga, hapa njombe kila kona ni machungwa ya Tanga.Sasa matunda ya Tanga yanalimwa na Zombies tueleweshane nini maana ya uvivu.
Pole, nadhani unafikiri, machungwa toka mkoa wa Tanga yanatoka Tanga mjini - Sahare, Duga, Chumvini, Makojoni, Raskazone...nk.
Machungwa yanatoka wilayani, vijijini.
Mjini watu ni wavivu.
 
Nikaribie vipi ,shehe inaelekea walimu wako wa msingi walivunja Sana rula kichwani mwako kwa ugumu wa uwelewa
Nashangaa wewe ndio umekua mzito kunielewa na ndio maana ukashindwa kuwaelewa watu watanga!
 
Vipi huyu aliyetukana jamii nzima ya watu wa Tanga,kuwa wanawake wa Tanga wanakupa chochote kwa namna yoyote mahali popote? Hawa wanawake si mama za watu pia?
Hapo ndipo mnapokosea , mwanamke ni general term, ndani yake Kuna dada mama shangazin, mke , Kama vile nywele zilivyo na majina tofauti tofauti kutokana na mahala zilipo, ndevu nyusi ,kope n.k

Mtoa mada anaongelea mwanamke ambaye anaweza kumtomgoza na kuanzisha mahusiano, hajamtukana mtu hapo
 
  • Thanks
Reactions: Cyb
Same noma aisee kuna siku nilimkuta dada barabarani nikamwambia anioneshe wanapouza supu nzuri akaingia ndani ya gari huwezi amini alihailisha mambo yake yote baada ya kunywa supu nikaenda kumla kimasihara sema gari yenyewe ilikua V8 ndio mana alichachawa wakati ni STK wala sio langu
MADEREVA wengi mlishaungua kitambo sana, kwa ufahari wa magari ya Serikali.
 
Back
Top Bottom