Companero
Platinum Member
- Jul 12, 2008
- 5,604
- 1,704
Hvii mtu akiwa Rais kila siku anapaswa kuwasiliana na nani? Je, siku inaweza kupita kwa usalama kabisa bila kuwasiliana walau kwa simu na hawa:
1. Waziri Mkuu
2. Mkuu wa Majeshi
3. Mkuu wa Polisi
4. Mkuu wa Usalama wa Taifa
5. Katibu Mkuu wa Chama Tawala
?
1. Waziri Mkuu
2. Mkuu wa Majeshi
3. Mkuu wa Polisi
4. Mkuu wa Usalama wa Taifa
5. Katibu Mkuu wa Chama Tawala
?