Ukiwa na pesa hayaji mapenzi

Ukiwa na pesa hayaji mapenzi

heeee!...we wa wapi? kwani hujui mapenzi ya pesa hayana stress?....nina pesa namuita namdandia weeee nikitosheka nampa pesa yake anaondoka,,,poleni nyie wenye hilo gonjwa la kupenda kwangu mapenzi ni kubanjuana tu vingine vyote ni geresha


G.Jacob haahaaa wazee wa one night stand (hit n run)
hahah! ndo maana yake sio kuleteana mambo ya kumbikumbi kila siku kufuatanafuatana tu kisa mfuko umenona.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom