Ukiwa na pesa hayaji mapenzi

Ukiwa na pesa hayaji mapenzi

Bamukunda siyo kujihami its reality, anyway ngonja ngonja niendelee kuserve money for my future plan
Hapo sawa hata wazee wa leo walikuwa vijana wa zamani. Walitafuta na sasa wanatafuna mifupa miaka 20. Ukikua nawe itakuwa zamu yako kuenjoy kama hutaongeza data mortality kabla ya kuufikia uzee. Jamani tuache uchoyo kama wa chura kulalamikia maji ya kisimani kuwa yangu yangu wakati hawezi kuyanywa. Kaka kama ukiangalia mapunda na vibabu ndo vinatafuna vibinti virembo.
 
Hapo sawa hata wazee wa leo walikuwa vijana wa zamani. Walitafuta na sasa wanatafuna mifupa miaka 20. Ukikua nawe itakuwa zamu yako kuenjoy kama hutaongeza data mortality kabla ya kuufikia uzee. Jamani tuache uchoyo kama wa chura kulalamikia maji ya kisimani kuwa yangu yangu wakati hawezi kuyanywa. Kaka kama ukiangalia mapunda na vibabu ndo vinatafuna vibinti virembo.

Ni kweli hivi vibinti virembo vinatafunwa na vibabu, je vinazingatia afya au vinazingatia cash?
 
tian nakumiss sana!

nishazeeka mpenzi, njoo! lol
 
Last edited by a moderator:
Shemejiyo Amenibana Excel..

yule yule supanyota ama?

chepuka kidogo nikupe dawa ya kukimbia vibanio bhana!

nakumiss mpaka nashindwa kunywa maji ujue! kuna siku nilikuota live kabisa nikiwa nimefumbua macho! lol
 
yule yule supanyota ama?

chepuka kidogo nikupe dawa ya kukimbia vibanio bhana!

nakumiss mpaka nashindwa kunya maji ujue! kuna siku nilikuota live kabisa nikiwa nimefumbua macho! lol

Hahahhahahahhaha....

Sasa Hivi Nina Mkulima Wangu.

Superstar Nimetupa kule Kama Goli La RVP,

Nazingatia Njia Kuu,Mchepuko Sio Dili.
 
wewe kijana una afya gani kumzidi kibabu. Acha ubinafsi kwanza vijana wengi ni wachafu


Naongelea afya ya mwili na cyo uchafu wa mwili, au unahisi mtu akisha miliki pesa hawez kua na tatizo kiafya? Haaahaaa
 
.maelezo yako toka mwanzo yanaonyesha kauzoefu kidogo, teh!!

Hahahaaa, nina kauzoefu ka stress za vijana...stress hadi moyo umekufa ganzi...
so nafikiria labda vice versa is true
 
Hahahhahahahhaha....

Sasa Hivi Nina Mkulima Wangu.

Superstar Nimetupa kule Kama Goli La RVP,

Nazingatia Njia Kuu,Mchepuko Sio Dili.
aisee!! sasa kwanini hukunitafuta nichukue fursa? acha uchoyo na kidude chako bhana! lol.
 
Naongelea afya ya mwili na cyo uchafu wa mwili, au unahisi mtu akisha miliki pesa hawez kua na tatizo kiafya? Haaahaaa
Vijana hawaumwi? Unadhani uzee ni ugonjwa. Acha kuwa na wivu na vibabu, subiri muda wako na wewe ufaidi
 
Hahahaaa, nina kauzoefu ka stress za vijana...stress hadi moyo umekufa ganzi...
so nafikiria labda vice versa is true

usiruhusu moyo kufa ganzi kisa mtoto wa kiume bhana...!!
..afu hao wazee ni part time tu, hutaenjoy 100%, vile ni mapenzi ya mda mfupi, mwisho wa siku utarudi tu kwa vijana!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom