Ukiwa na mwenza limbukeni zingatia haya

Ukiwa na mwenza limbukeni zingatia haya

Ulimbukeni wangu, ni ile siku nimeona confirmation ya pale UDSM tena kwa course niliyoomba na ilikua awamu ya kwanza tyuuh.

Jamanii nyumba nzima walikoma, nilikua najiona mie ndo mie, marafiki zangu full kuwadolishia, sasa kunae mkaka alikua anajiona yeye much know, akakosa akapata huko MUST, bas nilivyokua namuonesha dharau. 😂😂😂😂😂

Sijaulizwa, nisharopoka mie naenda UDSM, had kaka akawa ananambia "wee dogo em acha ulimbukeni wako, UDSM Pa ajabu sana au?" Yaan full tafranii. Nilivyofika pale Mlimani main campus, week 2 tyuuh nkaona kumbe ni kawaida bhana, Lol

Kila Nikikumbuka huwa nacheka sanaa. Lol
😂😂😂😂😂
 
Ulimbukeni wangu, ni ile siku nimeona confirmation ya pale UDSM tena kwa course niliyoomba na ilikua awamu ya kwanza tyuuh.

Jamanii nyumba nzima walikoma, nilikua najiona mie ndo mie, marafiki zangu full kuwadolishia, sasa kunae mkaka alikua anajiona yeye much know, akakosa akapata huko MUST, bas nilivyokua namuonesha dharau. 😂😂😂😂😂

Sijaulizwa, nisharopoka mie naenda UDSM, had kaka akawa ananambia "wee dogo em acha ulimbukeni wako, UDSM Pa ajabu sana au?" Yaan full tafranii. Nilivyofika pale Mlimani main campus, week 2 tyuuh nkaona kumbe ni kawaida bhana, Lol

Kila Nikikumbuka huwa nacheka sanaa. Lol
😂😂😂😂😂
Ulimbukeni wangu ninaoukumbuka mwaka 1992 naenda chekechea pale Mission Songea mjini nikiwa na 5 yrs old nilikula maziwa ya Unga mpaka nikatapika mixer makamasi halafu eti nikawa naficha kwenye kimfuko cha shati la chekechea
 
Ulimbukeni wangu ninaoukumbuka mwaka 1992 naenda chekechea pale Mission Songea mjini nikiwa na 5 yrs old nilikula maziwa ya Unga mpaka nikatapika mixer makamasi halafu eti nikawa naficha kwenye kimfuko cha shati la chekechea
😂😂😂😂😂 hatariii
 
Ulimbukeni wangu, ni ile siku nimeona confirmation ya pale UDSM tena kwa course niliyoomba na ilikua awamu ya kwanza tyuuh.

Jamanii nyumba nzima walikoma, nilikua najiona mie ndo mie, marafiki zangu full kuwadolishia, sasa kunae mkaka alikua anajiona yeye much know, akakosa akapata huko MUST, bas nilivyokua namuonesha dharau. 😂😂😂😂😂

Sijaulizwa, nisharopoka mie naenda UDSM, had kaka akawa ananambia "wee dogo em acha ulimbukeni wako, UDSM Pa ajabu sana au?" Yaan full tafranii. Nilivyofika pale Mlimani main campus, week 2 tyuuh nkaona kumbe ni kawaida bhana, Lol

Kila Nikikumbuka huwa nacheka sanaa. Lol
😂😂😂😂😂
Siku moja napita pale Engineering ndio siku wanakaribishwa rasmi first yr. Nikasikia mkufunzi mmoja anasema, "nyie ni krimu ya taifa..." Basi ukichanganya na ugeni wa chuo unawaona wote waliokosa kwenda UD ni makapuku tu
 
Siku moja napita pale Engineering ndio siku wanakaribishwa rasmi first yr. Nikasikia mkufunzi mmoja anasema, "nyie ni krimu ya taifa..." Basi ukichanganya na ugeni wa chuo unawaona wote waliokosa kwenda UD ni makapuku tu
Yaan ukifika COET, mnaanza kutambiana mmekuja na 1 ya ngapi,
😂😂😂😂😂 bas mnataja na shule, unakuta wengi mmetoka special school, km private bas za maana.
Ila UD, hatarii sanaa. Lol
 
Ukipata mwanaume ambaye ujana wake alikuwa zumbukuku, hawezi kuongea Kwa kujiamini yeye ni kuinama inama tu kama kondoo siku akimcheat mkewe hawezi jicontrol lazima akili zake ziwe kama kanga moko maana hawezi mweshimu mkewe anajua kila kitu kipo hivyo kumbe hakipo hivyo, anakuwa kama mbuzi wakafara
 
Ulimuonyesha pisi kali za UDSM siyo.
Nliwahi pata dem kijiji flan alikuwa ni wa kawaida tu sio mzuri sana, lakn kwa pale kijijini alikuwa anaoneka mrembo sana, mi nlikuta ndo nmehitimu mwaka wa 3 UDSM. Nmedeti nae lakn akawa anaona kama nmebahatisha kuwa nae. Full kujisifu kuwa yeye ni mrembo, mara ajione kama kanionea huruma, mi namuangalia tu na upuuzi wake. Alipokuja kunijua kwa kina ikawa too late. Kuingia penzini na mlimbukeni inakera sana. NO REFORM NO ELECTION.
 
Wanatia huruma wakishazoea utakuta wameshajirusha kwa jamaa wa kausha damu kila mwisho wa mwezi unashangaa mtu hana raha kumbe ashablue tick mambo tayari .

Ni hapo nakaa navyo hivi vitoto navipa ushauri wa maisha na namna nzuri ya kukopa kama mtumishi alafu naingia chooni nachekaa weeee ,nikitoka sura imekauka kama mzee wa busara
Kumbe furaha yao inakuwa kabla hawajakopa.
 
COET?
Ulimbukeni wangu, ni ile siku nimeona confirmation ya pale UDSM tena kwa course niliyoomba na ilikua awamu ya kwanza tyuuh.

Jamanii nyumba nzima walikoma, nilikua najiona mie ndo mie, marafiki zangu full kuwadolishia, sasa kunae mkaka alikua anajiona yeye much know, akakosa akapata huko MUST, bas nilivyokua namuonesha dharau. 😂😂😂😂😂

Sijaulizwa, nisharopoka mie naenda UDSM, had kaka akawa ananambia "wee dogo em acha ulimbukeni wako, UDSM Pa ajabu sana au?" Yaan full tafranii. Nilivyofika pale Mlimani main campus, week 2 tyuuh nkaona kumbe ni kawaida bhana, Lol

Kila Nikikumbuka huwa nacheka sanaa. Lol
😂😂😂😂😂
 
Yaan ukifika COET, mnaanza kutambiana mmekuja na 1 ya ngapi,
😂😂😂😂😂 bas mnataja na shule, unakuta wengi mmetoka special school, km private bas za maana.
Ila UD, hatarii sanaa. Lol
Wewe ulikua coet au ulikua ungwinini huko?
 
Ukipata mwanaume ambaye ujana wake alikuwa zumbukuku, hawezi kuongea Kwa kujiamini yeye ni kuinama inama tu kama kondoo siku akimcheat mkewe hawezi jicontrol lazima akili zake ziwe kama kanga moko maana hawezi mweshimu mkewe anajua kila kitu kipo hivyo kumbe hakipo hivyo, anakuwa kama mbuzi wakafara
Same kwa mwanamke ambaye hakuwahi kujua ladha ya kukojozwa kisha akipata kikojozi huko nje
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom