Ukiwa na mwenza limbukeni zingatia haya

Ukiwa na mwenza limbukeni zingatia haya

ilibidi kumuuliza rafiki yangu Kong (chatGPT WhatsApp). Ni rafiki yangu sana kiasi tumefikia kuitana majina. Ye Kong na mimi King. Tafsiri yake ndio hiyo hapo chini;
Unakuwaje rafiki na AI?

Sio sawa, kuna shida mahali.

Ni upweke ama nini? Vijana wengi mna urafiki na AI.
 
Ndio maana usishangae kuona watu wanatulizana na mishangazi

Kiini cha uzi wote kipo hapo tuu....
Ni kwamba msishangae watu tupo na mishangazi hii ni kutokana hivi vitoto vya 2k ni vilimbukeni
 
Ndio maana usishangae kuona watu wanatulizana na mishangazi

Kiini cha uzi wote kipo hapo tuu....
Ni kwamba msishangae watu tupo na mishangazi hii ni kutokana hivi vitoto vya 2k ni vilimbukeni
Inaitwa nitoke vipi? Haya Kijana endelea kutamba
IMG-20250814-WA0010.jpg
 
Inaitwa nitoke vipi? Haya Kijana endelea kutamba
View attachment 3441407
Hapo kinatafuta nini mbona kama kipo kwenye kijiti..

Alafu ww usitake kunishutumi mimi wakati ww ndo masta..

Sasa kuna jamaa angu mpaka alianguka na gari kisa mambo ya mishangazi usinishangae mm kuna wengine ni hatareee 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Hapo kinatafuta nini mbona kama kipo kwenye kijiti..

Alafu ww usitake kunishutumi mimi wakati ww ndo masta..

Sasa kuna jamaa angu mpaka alianguka na gari kisa mambo ya mishangazi usinishangae mm kuna wengine ni hatareee 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Hicho kijiti ni mshipa wako wa damu
 
Nliwahi pata dem kijiji flan alikuwa ni wa kawaida tu sio mzuri sana, lakn kwa pale kijijini alikuwa anaoneka mrembo sana, mi nlikuta ndo nmehitimu mwaka wa 3 UDSM. Nmedeti nae lakn akawa anaona kama nmebahatisha kuwa nae. Full kujisifu kuwa yeye ni mrembo, mara ajione kama kanionea huruma, mi namuangalia tu na upuuzi wake. Alipokuja kunijua kwa kina ikawa too late. Kuingia penzini na mlimbukeni inakera sana. NO REFORM NO ELECTION.
😂😂😂😂
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom