Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,470
- 911,174
Hivi ni kwa nini mtu siku hizi akiwa na mabaka usoni minong'ono na masengenyo yamwandama kuwa huyo kwisha habari yake...Amekanyaga miwaya huyo kwa maana ameshikwa na vvu na tusubiri kuitwa kuhudhuria mazishi yake.
Zamani watu walikuwa na mibaka usoni lakini walikuwa hawanyanyapaliwi hivyo. Tusaidiane wanajamvi wenzangu kuna nini?
Zamani watu walikuwa na mibaka usoni lakini walikuwa hawanyanyapaliwi hivyo. Tusaidiane wanajamvi wenzangu kuna nini?