DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 18,084
- 45,739
Hii huwa naisema kila siku MTU mwenye AKILI Sana na akawa anajua kuzitumia , huwa hatafuti kazi.
Mfano MAX MELO muhaya serikali ilimtafuta ili awasaidie kazi
Hivyo vijana self -investment ndo kila kitu , jithadi uwekeze katika wewe na banda ya hapo watu watawekeza katika wewe.
Ajira umekuwa wimbo Ila hapo hapo serikalini kuna watu wana Ajira tatu hadi NNE
Mfano MAX MELO muhaya serikali ilimtafuta ili awasaidie kazi
Hivyo vijana self -investment ndo kila kitu , jithadi uwekeze katika wewe na banda ya hapo watu watawekeza katika wewe.
Ajira umekuwa wimbo Ila hapo hapo serikalini kuna watu wana Ajira tatu hadi NNE