muima
JF-Expert Member
- Jul 30, 2014
- 276
- 66
lianzishwe jukwaa la mashoga humu
Hahahaha hahahaha mbavu zangu mie
lianzishwe jukwaa la mashoga humu
Wewe ni mwanamume?
salale................wanam program ofcoz
Mh. Kwa kweli kuna new gender. Male, Female na Half Male. Hawa wa mwisho wana maungo ya kiume software ya kike.
Wewe ni mwanamume?
lianzishwe jukwaa la mashoga humu
Hii kitu nimeiona sana hapa Bongo, ukiwa Mzuri yaani una muonekano wa Mvuto basi wewe Maisha yako yanakuwa yamerahisishwa kwa kasi kikubwa sana.
Kuanzia kupewa kiti kwenye daladala kila Mtu anataka ukae nae mpaka kuruhusiwa kuingia Benki hata kama muda wa kufunga umeshafika na wengine wamezuiwa kuingia Benki, hii kitu wakati niko mdogo nilikuwa sijaishtukia lakini sasa hivi nimekuwa mkubwa naanza kuangalia nyuma ndio naona kwamba muonekano wangu umenisaidia vitu vingi sana.
Mara nyingi sana huwa nikienda hata kulipia kitu kwa mfano TRA huwa naitwa tu na kupewa upendeleo bila ya hata ya kujua kwa nini, sasa najiuliza, huyu Demu ananijua?
Au labda tulisoma wote kumbe ni muonekano wangu tu.
Kumbe we mzuri, du! njoo kwangu nikuweke ndani kabisa. ntakupa kila kitu, Lakini uwe tayari wajanja wawe wamesafisha njia tayari. Lakini kama bado taiti utanisumbua kuifungua kwa mara ya kwanza.
kijakazi wa II + Mwonekano mzuri = SHEMALEMh. Kwa kweli kuna new gender. Male, Female na Half Male. Hawa wa mwisho wana maungo ya kiume software ya kike.