Nchangamshedamu
Senior Member
- Aug 3, 2014
- 148
- 43
Na magonjwa unapata kirahisiii
atakua ni mwanaume.anadai ana sura nzuri sana.
Hapa naita team ya kukemea mapepo
hivi huyu alieandika hii hata jando alienda huyu?aisee hii ni hasara sana kumbe ndo maana wazungu wanakomaa kuleta. sheria ya ushoga ili mabwabwa kama haya yaliwe live
hivi huyu alieandika hii hata jando alienda huyu?aisee hii ni hasara sana kumbe ndo maana wazungu wanakomaa kuleta. sheria ya ushoga ili ma bwabwa kama haya yaliwe live
Wewe ni mwanamume?
Wakenya wanatakiwa kufahamu kuwa Bush ndio raisi wa dunia. Anazungumza lolote analopenda kwa raha zake. Ni sawa na viongozi wa mkoa wa tabora kumlaumu kikwete kwanini anaongelea maendeleo ya mkoa wa tabora akiwa na viongozi wa mkoa wa arusha. Kama hilo limewakera, wakenya wanatakiwa kuipiku marekani ili nao wawe na nguvu za kuongelea siasa za afghanistan wanapokuwa katika na majadiliano na viongozi wa ufaransa.
Kumbe we mzuri, du! njoo kwangu nikuweke ndani kabisa. ntakupa kila kitu, Lakini uwe tayari wajanja wawe wamesafisha njia tayari. Lakini kama bado taiti utanisumbua kuifungua kwa mara ya kwanza.
Alaaa kumbe....wacha sie wenye sura ngumu tukomae
Hahaha sisi kina asha boko a.k.a tuliochukua sura za wajomba zetu
Hii kitu nimeiona sana hapa Bongo, ukiwa Mzuri yaani una muonekano wa Mvuto basi wewe Maisha yako yanakuwa yamerahisishwa kwa kasi kikubwa sana.
Kuanzia kupewa kiti kwenye daladala kila Mtu anataka ukae nae mpaka kuruhusiwa kuingia Benki hata kama muda wa kufunga umeshafika na wengine wamezuiwa kuingia Benki, hii kitu wakati niko mdogo nilikuwa sijaishtukia lakini sasa hivi nimekuwa mkubwa naanza kuangalia nyuma ndio naona kwamba muonekano wangu umenisaidia vitu vingi sana.
Mara nyingi sana huwa nikienda hata kulipia kitu kwa mfano TRA huwa naitwa tu na kupewa upendeleo bila ya hata ya kujua kwa nini, sasa najiuliza, huyu Demu ananijua?
Au labda tulisoma wote kumbe ni muonekano wangu tu.