Kijakazi
Platinum Member
- Jun 26, 2007
- 10,544
- 18,090
Hii kitu nimeiona sana hapa Bongo, ukiwa Mzuri yaani una muonekano wa Mvuto basi wewe Maisha yako yanakuwa yamerahisishwa kwa kasi kikubwa sana.
Kuanzia kupewa kiti kwenye daladala kila Mtu anataka ukae nae mpaka kuruhusiwa kuingia Benki hata kama muda wa kufunga umeshafika na wengine wamezuiwa kuingia Benki, hii kitu wakati niko mdogo nilikuwa sijaishtukia lakini sasa hivi nimekuwa mkubwa naanza kuangalia nyuma ndio naona kwamba muonekano wangu umenisaidia vitu vingi sana.
Mara nyingi sana huwa nikienda hata kulipia kitu kwa mfano TRA huwa naitwa tu na kupewa upendeleo bila ya hata ya kujua kwa nini, sasa najiuliza, huyu Demu ananijua?
Au labda tulisoma wote kumbe ni muonekano wangu tu.
Kuanzia kupewa kiti kwenye daladala kila Mtu anataka ukae nae mpaka kuruhusiwa kuingia Benki hata kama muda wa kufunga umeshafika na wengine wamezuiwa kuingia Benki, hii kitu wakati niko mdogo nilikuwa sijaishtukia lakini sasa hivi nimekuwa mkubwa naanza kuangalia nyuma ndio naona kwamba muonekano wangu umenisaidia vitu vingi sana.
Mara nyingi sana huwa nikienda hata kulipia kitu kwa mfano TRA huwa naitwa tu na kupewa upendeleo bila ya hata ya kujua kwa nini, sasa najiuliza, huyu Demu ananijua?
Au labda tulisoma wote kumbe ni muonekano wangu tu.