Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 17,471
- 41,433
Si useme au mpk tukupe mji? 🤣Wataka kujua au vipi
Si useme au mpk tukupe mji? 🤣Wataka kujua au vipi
Umemwaga mboga Wacha tumalize ugaliKirikuu ntakuchapa unajifanya unanijua kuliko ninavyojijua 🤣🤣🤣🤣
Nipe msimabazi tukakutane bahariniSi useme au mpk tukupe mji? 🤣
Aisee 🤔Budget ndogo ipo hivi,
Wengi siku hizi hatuendi lodge, tunapanga chumba self nje ya makazi ya familia zetu so fanya hivi,
Chumba kodi 150k*6= 900k
kitanda, pazia, doormat, ndoo, mito, mashuka, kochi= 500k
Emergency, usafi na upuuzi mwingine = 100k
Jumla 1.5M kwa miezi 6 ambapo ukigawa ni kama 250k kila mwezi
Ukijumlisha nauli yake kuja na kuondoka kwa mwezi itachezea hapo kwenye 300k kila mwezi kwenye uzinzi tu, miyeyusho sana.
Mkuu Kama vipi weka ndani chuma hichoKwel kabisa mzee, kuna malaya fln hv nadhani alikuwa bado hajakolea kwenye umalaya yn alikuwa mtamu knoma afu yupo loyal knoma Aisee ukimuangalia vibaya unaona wife material kabisa huyu hapa
Bahati mbaya ndio hvy n malaya, lkn ingekuwa sio hvy ningeibebaMkuu Kama vipi weka ndani chuma hicho
😂😂Muombe Mungu akupe maono tu Vision
Ukiwa na vision tayari unakuwa hauzuiliki.
Pombe
Ngono
Kamali
Utakuwa Una-adhithiwa na WATU.