BICHWA KOMWE -
JF-Expert Member
- Jul 21, 2022
- 4,693
- 10,212
Nawauliza nyie vijana wa DAR na sehemu zingine nchini [lakini haswa DAR], hivi ukiwa kondakta wa daladala lazima akili ziwe fyatu?
Sijawahi kukutana na konda msafi, wengi wao wanavuta mabange, wanavaa maguo yaliyoraruka na wanaongea kibabe kama wako vitani?
Huwezi kukutana na konda akakuongelesha kwa staha, ni lazima akufokee huku anakurushia mate usoni mpaka unajutraa. Hata kama jambo dogo tu, ni utafokewa mpaka.
Sasa nawauliza nyie wapanda daladala na vijana wa DAR, hili swala limekaaje ati? Kuna sheria labda ambayo inasema ukiwa konda lazima uwe chizi mwenye dishi lililoyumba?
Ukienda Ulaya napo unakutana na makonda wa aina hii tulionao Tanganyika?
Sijawahi kukutana na konda msafi, wengi wao wanavuta mabange, wanavaa maguo yaliyoraruka na wanaongea kibabe kama wako vitani?
Huwezi kukutana na konda akakuongelesha kwa staha, ni lazima akufokee huku anakurushia mate usoni mpaka unajutraa. Hata kama jambo dogo tu, ni utafokewa mpaka.
Sasa nawauliza nyie wapanda daladala na vijana wa DAR, hili swala limekaaje ati? Kuna sheria labda ambayo inasema ukiwa konda lazima uwe chizi mwenye dishi lililoyumba?
Ukienda Ulaya napo unakutana na makonda wa aina hii tulionao Tanganyika?