ukiwa handsome kila mtu anakutamani

ukiwa handsome kila mtu anakutamani

Na kosa liko wapi akijisifia....Sioni kosa akisema yeye ni handsome mana anajiamini yeye ni handsome.

Ni sawa sawa na mwanamke akijisfia kusema yeye ni beautiful lady/girl.

Nenda karibu yake na wewe unaweza kuvutiwa ukakubaliana naye.
Soma hapo chini kijana.
POPOBAWA.

mwanaume asifiwi sura!! Mwanaume kazi.
 
Siku ya kumfunda cholo kama nikipewa kipindi uchukue notes kabisaa! Uje na daftari la mistari mikubwa na kalamu za rangi za mafuta.

ntakuja na counter buku kabisa somo muhimu hilo nataka niandike mpaka mifano.
 
CHOLO!!!! Bora uende Tanga. Watakujengea nyumba ya ghorofa kwa uzuri wako.
 
Sidhani kama jogoo anawika wewe, mwanaume anajisifia kwa kazi na matokeo positive ya kazi sasa wewe unajisifia uzuri? Inaelekea umelelewa na dada zako na umefuata tabia zao za kujisifia
 
sijakupata mkuu,kwani wanawake wa mikoani wakoje?

Wanawake wa dar es salaam wanaotamani wanaume wanaangalia mawili!pesa na umaarufu tu!nazungumizia uzoefu!proven....angalia wasanii wote wanaoshobokewa leo kwa uzuri halafu jiulize kabla ya!walikuwa wabaya na usanii ndo umewafanya wawe wazuri?
 
Wanawake wa dar es salaam wanaotamani wanaume wanaangalia mawili!pesa na umaarufu tu!nazungumizia uzoefu!proven....angalia wasanii wote wanaoshobokewa leo kwa uzuri halafu jiulize kabla ya!walikuwa wabaya na usanii ndo umewafanya wawe wazuri?

Well said muuza nyago.
POPOBAWA.
 
afu nyie popobawa na dazipozi huwa mnanimix sana.
 
pole wee haipendwi sura siku izi inapendwa pesa we jirembe tu uone.
 
hivi bado kuna watu wanajisifia uhandsome siku hizi?bila shaka watakua wanakuvua boxa kijana cholo,tena jina lako kikwetu linamaanisha punga
 
Hawa ndio David Cameroon alikuwa anawatetea!
 
Back
Top Bottom