Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,470
- 911,174
Kenya kuna mambo. Huyu ajuza kachoshwa na kupigwa kalenda na mpangaji wake ambaye anadai au kusingizia matatizo ya kifamilia yamemfanya kushindwa kulipia kodi ya pango.
Ajuza alipoona miezi inakatika na kodi hailipwi basi akaja na staili nyingine ya kwenda kwa mdaiwa wake sugu akiwa uchi wa kuzaliwa huku akisindikizwa na binti yake mkubwa na wakamgongea mlango mdaiwa wao.
Huku matusi mazito yakiwatoka walidai afungue auone uchi wa ajuza kama hatapata laana na kufa kiroho cha papo kwa hapo. Mdaiwa kusikia hivyo aliongeza komeo na kujifungia ndani.
Umati wa watu ulianza kujikusanya na kutaka kujua kuna nini............................mtoto wa kiume wa yule ajuza alipoona mama'ake anamtia aibu akaamua kumtishia mama'ake ya kuwa kama hatavaa nguo basi atabana mlango na kumshughulikia mama'ake papo kwa hapo bila ya kumwonea soooo hata chembe!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Yaelekea yule ajuza anajua makali ya mwanawe kwani alikimbilia ndani na kuvaa nguo zake huku akiwaacha watazamaji wa filamu ya bwerere mbavu zikiwa hoi kutokana na burudani ya laivu............au niseme ya papo kwa hapo.....
Kwa wanaujua umombo kazi kwenu.........
Crazy Monday
Angry grandma undresses to ‘curse' tenant
Updated Sunday, May 27 2012 at 21:00 GMT+3
Ajuza alipoona miezi inakatika na kodi hailipwi basi akaja na staili nyingine ya kwenda kwa mdaiwa wake sugu akiwa uchi wa kuzaliwa huku akisindikizwa na binti yake mkubwa na wakamgongea mlango mdaiwa wao.
Huku matusi mazito yakiwatoka walidai afungue auone uchi wa ajuza kama hatapata laana na kufa kiroho cha papo kwa hapo. Mdaiwa kusikia hivyo aliongeza komeo na kujifungia ndani.
Umati wa watu ulianza kujikusanya na kutaka kujua kuna nini............................mtoto wa kiume wa yule ajuza alipoona mama'ake anamtia aibu akaamua kumtishia mama'ake ya kuwa kama hatavaa nguo basi atabana mlango na kumshughulikia mama'ake papo kwa hapo bila ya kumwonea soooo hata chembe!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Yaelekea yule ajuza anajua makali ya mwanawe kwani alikimbilia ndani na kuvaa nguo zake huku akiwaacha watazamaji wa filamu ya bwerere mbavu zikiwa hoi kutokana na burudani ya laivu............au niseme ya papo kwa hapo.....
Kwa wanaujua umombo kazi kwenu.........
Crazy Monday
Angry grandma undresses to ‘curse' tenant
Updated Sunday, May 27 2012 at 21:00 GMT+3