Nafaka
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 12,156
- 31,045
Mwaka 1880 Malkia Sunanda Kamiriratana wa Thailand akiwa kwenye boat ndogo ya kifalme, boat hiyo ilipata ajali kwa kugongana na boat kubwa.
Watu waliokuwa kwenye boat ndogo yani malkia, binti yake, vijakazi na walinzi wake wote walidumbukia kwenye maji.
Shida ikawa ni je wamuokoe malkia au wamuache azame?
Sheria ya wakati huo, hawakuruhusiwa kumgusa malkia. Yani kumgusa malkia lilikuwa ni kosa kubwa na adhabu yake ni kifo.
Hivyo, walimuacha akazama yeye na mtoto wake na kufa. Hakuna mtu mwingine aliyekufa kwenye ajali hiyo isipokuwa malkia na binti yake maana hawakujua kuogelea.
Mazishi yao yaliandaliwa kwa miezi kumi, na yalikuwa mazishi ya kihistoria.
Jamani ukitunga sheria jua inaweza kurudi na kubite your ass.
Watu waliokuwa kwenye boat ndogo yani malkia, binti yake, vijakazi na walinzi wake wote walidumbukia kwenye maji.
Shida ikawa ni je wamuokoe malkia au wamuache azame?
Sheria ya wakati huo, hawakuruhusiwa kumgusa malkia. Yani kumgusa malkia lilikuwa ni kosa kubwa na adhabu yake ni kifo.
Hivyo, walimuacha akazama yeye na mtoto wake na kufa. Hakuna mtu mwingine aliyekufa kwenye ajali hiyo isipokuwa malkia na binti yake maana hawakujua kuogelea.
Mazishi yao yaliandaliwa kwa miezi kumi, na yalikuwa mazishi ya kihistoria.
Jamani ukitunga sheria jua inaweza kurudi na kubite your ass.