Samico Tanzania
JF-Expert Member
- Feb 6, 2022
- 276
- 792
Ujue ukitaka kupata kilicho bora ebu waza kinyumenyume na walimwengu baadae utanishukuru!
Leo fundi SAMICO Baada ya kumaliza project kwa amani na mteja wangu niliamua kwenda bar kutafakari napataje kazi nyingine.
Lakini nikiwa bar nimegundua ukituliza kichwa sawasawa huku ndiko waliko wake wa kuoa kwa mtu ambaye yupo serious.
Bar hakai kisirani, Bar hakai mwanmke mzembe, bar hakai mwanamke legelege n.k
Wengi walioko bar Mungu kawapa kipawa flani kila mtu na chake! Nzuri kuliko yote wanajua mwanaume anapenda nini na hapendi nini.
Ubamedi ni kazi tu kama kazi nyingine, Kwa maoni yangu ukifanikiwa kuchagua huku furaha ni kubwa sana kuliko majuto.
Huko kwingine mnakozani wametulia ni feki feki nyingi.
Ukweli ni kwamba badilisheni mtizamo kidogo, Bar ukichagua na kupata umepata kwelikweli.
Mwanamke anaevumilia matusi ya mlevi rohoni mwake amejaa amani nyingi kuliko mlokole asiye na adabu kwa mmewe.
Wakati wengi wakipanga mjini wewe nenda kajenge shamba, hivyo ndivyo ukitaka mke bora kamtafte bar!
Natoa ofa kwa kazi za ufundi bei yangu ni Tsh 95000/= tu kwa chumba cha kuishi, yaani ukitaka kujenga kila chumba 95000/=, ukitaka wiring kila chumba 95000/=, ukitaka tailz kila chumba 95000/= chochote unachokitaka nipigie bei ni 95000/ tu.
Napatikana kwa 0711756341 au instagram @samico_tanzania
KUANZIA LEO UKISIKIA MTU ANASEMA ANATAFTA MKE mwambie Fundi SAMICO kasema ukamtafte BAR
Leo fundi SAMICO Baada ya kumaliza project kwa amani na mteja wangu niliamua kwenda bar kutafakari napataje kazi nyingine.
Lakini nikiwa bar nimegundua ukituliza kichwa sawasawa huku ndiko waliko wake wa kuoa kwa mtu ambaye yupo serious.
Bar hakai kisirani, Bar hakai mwanmke mzembe, bar hakai mwanamke legelege n.k
Wengi walioko bar Mungu kawapa kipawa flani kila mtu na chake! Nzuri kuliko yote wanajua mwanaume anapenda nini na hapendi nini.
Ubamedi ni kazi tu kama kazi nyingine, Kwa maoni yangu ukifanikiwa kuchagua huku furaha ni kubwa sana kuliko majuto.
Huko kwingine mnakozani wametulia ni feki feki nyingi.
Ukweli ni kwamba badilisheni mtizamo kidogo, Bar ukichagua na kupata umepata kwelikweli.
Mwanamke anaevumilia matusi ya mlevi rohoni mwake amejaa amani nyingi kuliko mlokole asiye na adabu kwa mmewe.
Wakati wengi wakipanga mjini wewe nenda kajenge shamba, hivyo ndivyo ukitaka mke bora kamtafte bar!
Natoa ofa kwa kazi za ufundi bei yangu ni Tsh 95000/= tu kwa chumba cha kuishi, yaani ukitaka kujenga kila chumba 95000/=, ukitaka wiring kila chumba 95000/=, ukitaka tailz kila chumba 95000/= chochote unachokitaka nipigie bei ni 95000/ tu.
Napatikana kwa 0711756341 au instagram @samico_tanzania
KUANZIA LEO UKISIKIA MTU ANASEMA ANATAFTA MKE mwambie Fundi SAMICO kasema ukamtafte BAR