Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 37,347
- 56,076
- Thread starter
- #241
Mbaya zaidi nikikutana nao,wao ndio wanaona aibuKama mtu kagoma kukupa hela huna haja ya kulalamika. Na ni kigezo kwamba hakuamini. Ameshakaaa na wewe muda mrefu kukujua tabia zako. Ukitaka usaidiwe, inabidi ujenge mazingira ya kuaminika.