Ukitaka ukosane na rafiki omba akukopeshe fedha...

Ukitaka ukosane na rafiki omba akukopeshe fedha...

Hukujipanga mkuu kataa au kubali. Unapoamua kuingia kwenye ujenzi lazima uwe na balance ambayo itasaidia mambo kwenda. Ni afadhali uweke mahusiano mema na jamaa wa vifaa vya ujenzi kama umekwama wao kukupa vifaa ni rahisi. Wengi wanafanya hivyo na wanafanikiwa.
kuna vyuma vilitakiwa kuongezeka ghafla saiti,ambavyo havikuwa kwenye mahesabu;wakati huo mashine ziko saiti.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu una uzoefu wowote kwenye kuweka slab
Nimejenga kwa style ambayo huwezi amini. Sina hata kumi lakini jamaa wa maduka ya vifaa vya ujenzi wanaokoa sana. Unampigia simu oya nifanyie mpango wa cement 20 au naorodhesha vifaa vinavyohitaji namtumia vikipelea namtumia aniongeze. Mchezo kwisha.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hukujipanga mkuu kataa au kubali. Unapoamua kuingia kwenye ujenzi lazima uwe na balance ambayo itasaidia mambo kwenda. Ni afadhali uweke mahusiano mema na jamaa wa vifaa vya ujenzi kama umekwama wao kukupa vifaa ni rahisi. Wengi wanafanya hivyo na wanafanikiwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Huna huzoefu mkuu
 
Huna huzoefu mkuu
Huwezi kumlaumu mtu kwenye mipango yako ilhali hamkujadiliana hilo jambo before hand. Jiulaumu wewe kwa mipango mibovu. Kila mtu ana mipango yake huwezi kumkurupusha tu. Mkopo ni hisani sio lazima. Ulichofanya wewe kuwaomba ni try and error maana ikitiki poa ikifail pia poa. Dont have too much expectations kwa kuwa upo kwenye hard time. Na ishu kwenye kurudisha mnakuwaga watata sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimejenga kwa style ambayo huwezi amini. Sina hata kumi lakini jamaa wa maduka ya vifaa vya ujenzi wanaokoa sana. Unampigia simu oya nifanyie mpango wa cement 20 au naorodhesha vifaa vinavyohitaji namtumia vikipelea namtumia aniongeze. Mchezo kwisha.

Sent using Jamii Forums mobile app
Umesuka nondo 250,zikahitajika zingine 80 ambazo hazikuwa kwenye mahesabu...wakati huo mashine ziko saiti na zote zinalipiwa kwa siku,wakati huo huo inabidi uweke mlinzi kwa sababu zege haijamwaga;utafanyaje
 
Huwezi kumlaumu mtu kwenye mipango yako ilhali hamkujadiliana hilo jambo before hand. Jiulaumu wewe kwa mipango mibovu. Kila mtu ana mipango yake huwezi kumkurupusha tu. Mkopo ni hisani sio lazima. Na ishu kwenye kurudisha mnakuwaga watata sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
Status; wote tunamiliki kampuni zinazozalisha...kwa hiyo kukopeshana milioni 1,2,3 ni kawaida; ukikua utaelewa mkuu
 
Umesuka nondo 250,zikahitajika zingine 80 ambazo hazikuwa kwenye mahesabu...wakati huo mashine ziko saiti na zote zinalipiwa kwa siku,wakati huo huo inabidi uweke mlinzi kwa sababu zege haijamwaga;utafanyaje
Go back kwenye point yangu. Kama ungekuwa na mahusiano mema na jamaa wa hardware site ilipo usingekuja fungua uzi huu. Nimejenga servant hadi imeisha jamaa ananipa tu vifaa. Hadi nampigia mbona hunipi hesabu au una nia ovu. Akacheka sana. Ila hii yote ni nidhamu ya kulipa deni kabla sijakumbushwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Go back kwenye point yangu. Kama ungekuwa na mahusiano mema na jamaa wa hardware site ilipo usingekuja fungua uzi huu. Nimejenga servant hadi imeisha jamaa ananipa tu vifaa. Hadi nampigia mbona hunipi hesabu au una nia ovu. Akacheka sana. Ila hii yote ni nidhamu ya kulipa deni kabla sijakumbushwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Nilikuwa nachukua kiwandani
 
Status; wote tunamiliki kampuni zinazozalisha...kwa hiyo kukopeshana milioni 1,2,3 ni kawaida; ukikua utaelewa mkuu
Waliosema tuwe na mahusiano mema na wenye maduka ya aina mbalimbali mitaani kwetu hawakukosea. Ishu yako ni ndogo sana kama ungekuwa kuna duka unanunua vifaa vya ujenzi site kwako.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukiona marafiki zako wanasita kukukopesha.

Jua kua huna historia nzur ya ulipaji was madeni.

BINAFSI, Hata uwe rafki angu vipi.

Kama Sina imani kua utarudisha, SIKUKOPESHI.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilikuwa nachukua kiwandani
Sometimes tuwakumbuke na watu mitaani kwetu. Ukiangalia difference ya price sio kubwa na kiwandani. Ungekuwa unachukua malighafi kwao kaka usingepata hiyo shida. Jitahidi kuweka mahusiano na watu wa chini mtaani kwako. Itakuokoa pale hao rafiki zako watakaposhindwa kukusaidia. Take it from me.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Status; wote tunamiliki kampuni zinazozalisha...kwa hiyo kukopeshana milioni 1,2,3 ni kawaida; ukikua utaelewa mkuu
Halafu unaonekana unadharau, majivuno na sifa za kipuuzi. Huwezi kumwambia mtu usiyemjua akikua ataelewa. Jichunguze mzee kwa nini wakunyime mkopo. Ila pia kumbuka kukopa sio lazima ila kulipa deni ni lazima.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom