Ukitaka ukosane na rafiki omba akukopeshe fedha...

Ukitaka ukosane na rafiki omba akukopeshe fedha...

Watu wengi hawawa amini watu wanaokuja na shida ya wiki au mwezi.

Wanaomba kwa adabu na kwa ahadi kibao.

Ebwana eeeeh muda wa kulipa hawaonekani halafu hata kusema wameshindwa hawasemi, hata kutoa angalau ahadi hewa nyingine huo muda hawana!

Imefanya kuonekana kama wanao omba hela wote wako hivyo!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watu wa namna hii ni wa ajabu kweli.. Badala ya kujilaumu yeye analaumu marafiki! Yeye aliyekuwa na taharifa ya ujenzi kashindwa kupata pesa sembuse hao aliowakurupusha??

Alafu kuna watu wana tabia ya kukariri kwamba fulan ana hela, wakati muda mwingine uhalisia ni tofauti kabisa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu hujawahi kupata dharura au kitu kinachoitwa 'variation' kwenye mambo ya ujenzi; isitoshe wao ni watu niliowaamini wenye mitaji mikubwa 100M+
 
Watu wengi hawawa amini watu wanaokuja na shida ya wiki au mwezi.

Wanaomba kwa adabu na kwa ahadi kibao.

Ebwana eeeeh muda wa kulipa hawaonekani halafu hata kusema wameshindwa hawasemi, hata kutoa angalau ahadi hewa nyingine huo muda hawana!

Imefanya kuonekana kama wanao omba hela wote wako hivyo!

Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo ni kwa nini atoe ahadi ambayo si ya kweli
 
Mkuu , jamaa saizi hapokei wala hujibu SMS zangu.


Nikikuwekea hapa screenshot ya meseji za kilio chake, alivyokua analia huo usiku wa maneno mpaka nkaamua kumvutia mkwanja.


Leo Leo amechagua tuvunje urafiki kisa pesa nayomdai.
 
Don't expect anything from anyone maana mwisho wa siku utaishia kutoa lawama kumbe yeye alifanya kile alichoona kwake ni sawa.

Jiulize wewe umewah kutoa msaada kwake alipokwama? Au mtu ni rafki yako ila unamtafuta pale unapokua na shida ya hela tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu , jamaa saizi hapokei wala hujibu SMS zangu.


Nikikuwekea hapa screenshot ya meseji za kilio chake, alivyokua analia huo usiku wa maneno mpaka nkaamua kumvutia mkwanja.


Leo Leo amechagua tuvunje urafiki kisa pesa nayomdai.
Wapo wa namna hiyo,wasiokuwa waelewa.
 
Don't expect anything from anyone maana mwisho wa siku utaishia kutoa lawama kumbe yeye alifanya kile alichoona kwake ni sawa.

Jiulize wewe umewah kutoa msaada kwake alipokwama? Au mtu ni rafki yako ila unamtafuta pale unapokua na shida ya hela tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa upande wangu wao wamenufaika sana
 
Into this life nina rafiki yng mmoja tu,, tunasaidiana sna kweny maswala ya fedha tulijengeana uaminifu sna ni Zaid ya undungu,,


Kanikopesha sna, nimemkopesha sna,, ata tunaposhidwa kulipa kwa wakati una uhakika jamaa ataweka mambo sawa ata kwa baadae ..

I appreciate this dude!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Into this life nina rafiki yng mmoja tu,, tunasaidiana sna kweny maswala ya fedha tulijengeana uaminifu sna ni Zaid ya undungu,,


Kanikopesha sna, nimemkopesha sna,, ata tunaposhidwa kulipa kwa wakati una uhakika jamaa ataweka mambo sawa ata kwa baadae ..

I appreciate this dude!!

Sent using Jamii Forums mobile app
Inasaidia sana
 
Ukitaka ukosane na rafiki omba akukopeshe fedha..
Siku mbili tatu zilizopita nilipata changamoto kidogo za kiuchumi,kutokana na mambo ya ujenzi....wajuzi wanasema zege hali lali,nikajishauri nikaona ngoja niombe fedha ya dharura kwa marafiki zangu.Majadiliano yakawa hivi:-
Mimi: mambo vipi mkuu?naomba unisaidie kiasi fulani cha dharura by alhamisi nitakurudishia hata kwa riba.
Rafiki 1: Sawa haina shida kaka nitakucheki baadaye
Baada ya hapo kimya,ukimpigia simu hapokei
Rafiki 2: Ok nitakupatia kesho
Kesho inafika kimya,ukimpigia simu hapokei
Rafiki 3: Siko vizuri kiuchumi,biashara zimesimama kaka
Bora huyu alikuwa muwazi na nilimuelewa
Rafiki 4 : Siko vizuri kaka,nitakupatia nusu yake
Mimi: Nashukuru nilikuwa naitaji full

Kutokana na hali hiyo,nilichoweza kujifunza ili usikosane na rafiki yako inabidi mahusiano yenu yasihusu mambo ya fedha.
Marafiki ni wakunywa bia tuu lakini ikija suala la maana ni 0.01 percent ndio watakusaidia.
 
Into this life nina rafiki yng mmoja tu,, tunasaidiana sna kweny maswala ya fedha tulijengeana uaminifu sna ni Zaid ya undungu,,


Kanikopesha sna, nimemkopesha sna,, ata tunaposhidwa kulipa kwa wakati una uhakika jamaa ataweka mambo sawa ata kwa baadae ..

I appreciate this dude!!

Sent using Jamii Forums mobile app
Hii nzuri, i have this kind of a friend pia na tunaaminiana vzuri so hata nikikwama sisumbui watu wengine. Kuaminiana kwenye maswala ya hela saiv ni ngumu sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom