Ukitaka ukosane na rafiki omba akukopeshe fedha...

Ukitaka ukosane na rafiki omba akukopeshe fedha...

Jumatatu nilikosa hela hata ya kula nikampigia rafiki yangu yuko mkoani anisaidie akapokea na akadai ananipa kesho maana ilikuwa jioni. Usiku nikalala njaa kisha kesho nampigia hapokei. Nikapiga mara kibao na hata jana hapokei wakati shida ya hela ishaisha. Sahivi nafuta namba.
 
Jumatatu nilikosa hela hata ya kula nikampigia rafiki yangu yuko mkoani anisaidie akapokea na akadai ananipa kesho maana ilikuwa jioni. Usiku nikalala njaa kisha kesho nampigia hapokei. Nikapiga mara kibao na hata jana hapokei wakati shida ya hela ishaisha. Sahivi nafuta namba.
Hana msaada na wewe,labda alitaka ufe mkuu
 
Wakati mwingine ukiona hali hii ujue huyo mtu hana sio lazima Mpaka akuambie Sina. Kuna watu hawawezi kusema Sina wanaamuaga kukaa kimya

Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo linatokea pale amekuahidi na baadaye kurelax bila kwenda kuomba kwingine ukiamini utapata,mbaya zaidi mahitaji yalikuwa yanaendana na muda
 
Watu wa namna hii ni wa ajabu kweli.. Badala ya kujilaumu yeye analaumu marafiki! Yeye aliyekuwa na taharifa ya ujenzi kashindwa kupata pesa sembuse hao aliowakurupusha??

Alafu kuna watu wana tabia ya kukariri kwamba fulan ana hela, wakati muda mwingine uhalisia ni tofauti kabisa.
Ulimwaga jamvi bila mahesabu kamili....halafu unatoa lawama kwa marafiki.



Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na wewe unakosaje hela ya kula? Rudi kijijini usisumbue watu..
Jumatatu nilikosa hela hata ya kula nikampigia rafiki yangu yuko mkoani anisaidie akapokea na akadai ananipa kesho maana ilikuwa jioni. Usiku nikalala njaa kisha kesho nampigia hapokei. Nikapiga mara kibao na hata jana hapokei wakati shida ya hela ishaisha. Sahivi nafuta namba.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom