Ukitaka raha ya ndoa kaoe mpare

Ukitaka raha ya ndoa kaoe mpare

Nimebahatika kutembelea sehemu mbali mbali zenye makabila tofauti Tanzania; Nimejitahidi kuwa mchunguzi kwa kushuhudia na kuongea na ndugu, jamaa na marafiki walio katika ndoa!Nimegundua wanaume wengi waliooa kabila la kipare wanfuraha sana ndani ya ndoa zao.

Sifa kubwa zilizosemwa na wanandoa hawa wa kiume wa makabila toka kusini mpaka kaskazini, mashariki mpaka magharibi ni kama zifuatazo:

1. Wanawake wa kipare wanamheshimu sana mume na ni waaminifu sana

2. Sio wepesi wa hasira na hawana visasi

2. Wanawake wa kipare ni wakarimu sana kwa wageni wa pande zote mbili kwao na ukweni, na hata kwa marafiki!

4.Wanawake wa kipare wanajua sana kulea watoto katika maadili mema

5.Ni wachapakazi sana

Hizi ndizo sifa nilizoweza kuzifupisha kutokana na udadisi wangu.

HONGERA WAPARE, NATAMANI NINGEKUWA SIJAOA HUYU MCHAGA
WANGU!NINGEENDA UPARENI!
[/QUO
...ugonjwa ulionao unaitwa "kumchoka mkeo" Na dalili zake Ni kusifia wake za watu, kumkosoa mkeo Mara kwa Mara, kuwa Na mada Kama hizi, Na said Ni kuchepuka...bro where have u been to decide since u wanted to be married.
 
Kati ya kabila ambalo usithubutu kuoa ni hilo hapo:
1.Ni wafitini sana na wenye majungu wasiotaka maendeleo
2.Wanapenda sana ushirikina kupita kiasi na ushahidi ninao kwa wanawake zaidi ya kumi
3.Ukioa huko wakwe wanahamia kwako wote kule kwao wanahama
4.Hawapatani na majiran hata watendewe wema vipi
5.Wanapenda sana chini a.k.a michepuko
USHAURI: Usithubutu kukutwa utajuta maisha yako;;;;;;;;;;;;;
Nadhani hizo sifa zilizotolewa na MTENDAHAKI ni kinyume......

well said,we utakua unawajua vizuri,nimekaa na mmoja cna ham nao hawa viumbe matendo aliyonitendea Mungu ndo anajua
 
Last edited by a moderator:
Hivi Evelyn Salt ni kabila gani? na Mafikizolo ni kabila gani? nawapenda sana hawa wanawake. ninaandaa mipango mizuri juu yao!! :wave::smile-big:
'Blaza' eee ondoa shaka hwa ni majirani kabisa, mmoja Mchaga mwingine Mpare. Leta maneno sasa.
 
Nimebahatika kutembelea sehemu mbali mbali zenye makabila tofauti Tanzania; Nimejitahidi kuwa mchunguzi kwa kushuhudia na kuongea na ndugu, jamaa na marafiki walio katika ndoa!Nimegundua wanaume wengi waliooa kabila la kipare wanfuraha sana ndani ya ndoa zao.

Sifa kubwa zilizosemwa na wanandoa hawa wa kiume wa makabila toka kusini mpaka kaskazini, mashariki mpaka magharibi ni kama zifuatazo:

1. Wanawake wa kipare wanamheshimu sana mume na ni waaminifu sana

2. Sio wepesi wa hasira na hawana visasi

2. Wanawake wa kipare ni wakarimu sana kwa wageni wa pande zote mbili kwao na ukweni, na hata kwa marafiki!

4.Wanawake wa kipare wanajua sana kulea watoto katika maadili mema

5.Ni wachapakazi sana

Hizi ndizo sifa nilizoweza kuzifupisha kutokana na udadisi wangu.

HONGERA WAPARE, NATAMANI NINGEKUWA SIJAOA HUYU MCHAGA
WANGU!NINGEENDA UPARENI!

Oa mpare at your own risk! Mi nilioa mpare na ninajuta Mungu tu ndio anayejua jiasi gani cha majuto. Haniheshimu kama mume, anataka anikalie, anaendekeza mambo ya kwao tu na ndugu zake, n.k. Hizo sifa ulizotaja hapo juu wapare hawana, trust me. Oa mhehe, mi nlikua na gf wa kihehe, full heshima sema tu tamaa ikafanya nikamuacha na kwenda kwa hili lipare.
 
Oa mpare at your own risk! Mi nilioa mpare na ninajuta Mungu tu ndio anayejua jiasi gani cha majuto. Haniheshimu kama mume, anataka anikalie, anaendekeza mambo ya kwao tu na ndugu zake, n.k. Hizo sifa ulizotaja hapo juu wapare hawana, trust me. Oa mhehe, mi nlikua na gf wa kihehe, full heshima sema tu tamaa ikafanya nikamuacha na kwenda kwa hili lipare.

Samaki mmoja akioza haina maana wote wameoza.
 
anaongelea wapare wa wapi!!! huku mtaani naona wote vicheche tu.
 
Pia wanahuruma sana. Ukiomba chochote unapewa!
 
kumvumilia mwanaume ktk shida na raha lakini Once hela ikipatikana utaziona tru colors!, wepesi kuvua ile nguo ya ndani, ubahili.. The list is infinity........
Hapo penye red ndo makabila mengi yameshindwa mkuu!Hapo mbele umeniongezea uelewa
 
Oa mpare at your own risk! Mi nilioa mpare na ninajuta Mungu tu ndio anayejua jiasi gani cha majuto. Haniheshimu kama mume, anataka anikalie, anaendekeza mambo ya kwao tu na ndugu zake, n.k. Hizo sifa ulizotaja hapo juu wapare hawana, trust me. Oa mhehe, mi nlikua na gf wa kihehe, full heshima sema tu tamaa ikafanya nikamuacha na kwenda kwa hili lipare.
Pole mkuu, hayo uliyoniambia hapo ni nyongeza ya ufahamu wangu!nadhani kama unayosema ni kweli basi hawa ndugu nilowauliza wamenipotosha!LAKINI kwa ukarimu, AMINI NAKWAMBIA HAWA WATU NI WAKARIMU SANA
 
Ww mleta mada unataka kuoa mpare? Go ahead ni wazuri kama ulivyosema. Hata wanyamwezi wako poa sana.
 
Mira vatanzania mwerundie ii hena mche wedi.mche wedi ni ula ekumoghia aongeje lukolo lwenyu.vusheni vurundu aha!
 
acha kuropoka kiongozi, haikusaidii. Nenda upareni fanya sensa. Katika jamii zilizoumizwa na ngoma wala hatumo kivile.

una takwimu au ni uzushi tu.acha kutusakama !unataka nikichumbia dadako nisifanikiwe?
 
Back
Top Bottom