Ukitaka raha ya ndoa kaoe mpare

Ukitaka raha ya ndoa kaoe mpare

....hahahaaa na jilazimisha kuamini kama hizo ndo sifa na vigezo vya raha ya ndoa sioni hata kimoja chenye uhusiano na raha ya ndoa directly. Ninachoona hapa no kuna mwanamke Wa kipare mwenye sifa hizo umemtamani na umemchoka mkeo basi. wanawake kibao wanahizo sifa na zaidi na bado ndoa zao ni majanga na wengine hawana ila wanandoa bora.....
Gefu@ hizo ni ufupisho tu, kwani zingine zipi zilizosahaulika mkuu!
 
Last edited by a moderator:
Hilo si kweli kwa sababu zifuatazo:-
(1)Wapare wamesomesha watoto wao.kama wangekuwa bahili wasingesomesha
(2)Wapare wamejenga na wanaishi nyumba bora.
(3)wana afya zao kuonyesha wanakula vizuri (suala la ubahili ni uzushi) hawana historia ya watoto wao kutuhumiwa kwa kwashakoo kama kabila fulani sitalitaja.
ACHENI UZUSHI !
Nakubaliana na wewe mkuu Ighombe hasa sehemu zenye red, nimeziona kwa macho yangu
 
Last edited by a moderator:
Kati ya kabila ambalo usithubutu kuoa ni hilo hapo:
1.Ni wafitini sana na wenye majungu wasiotaka maendeleo
2.Wanapenda sana ushirikina kupita kiasi na ushahidi ninao kwa wanawake zaidi ya kumi
3.Ukioa huko wakwe wanahamia kwako wote kule kwao wanahama
4.Hawapatani na majiran hata watendewe wema vipi
5.Wanapenda sana chini a.k.a michepuko
USHAURI: Usithubutu kukutwa utajuta maisha yako;;;;;;;;;;;;;
Nadhani hizo sifa zilizotolewa na MTENDAHAKI ni kinyume......

akiamungu nguvee hii watukonda huvyooo..harika mwanaa tateeee
 
Mie naomba kujua Sifa ya wanaume wa kipare - sitafuti ila naomba tu kuipata :smow:

Fungukeni - maana sifa nazozipata za ajabu ajabu tu
 
moja ya sifa ya mpare n kuzin hata na ndugu yako chunguza kwa makini bado hujaeeeenda uparen ukajua historia ya wapare
 
Huo utafiti sio wa kweli, oa mpare uone kiboko yake.hawajali kabisa ndugu wa mume na ni watata sana wapare
 
kuna mkaka jirani yetu yeye na mkewe ni wapare. mke alikuwa mzuri sana anawaka kwa urembo wa asili. siku moja mida ya saa5 karudi nyumbani ghafla kakuta kimya kuingia ndani hadi chumbani alikuta mkewe kakunjwa style ambayo yeye alikiri ni mpya kuiona anabanjuliwa na kachalii ka hapo jirani kwake. hapo ndo ulikuwa mwisho wa ndoa yao mwaka 2006.
 
Nimebahatika kutembelea sehemu mbali mbali zenye makabila tofauti Tanzania; Nimejitahidi kuwa mchunguzi kwa kushuhudia na kuongea na ndugu, jamaa na marafiki walio katika ndoa!Nimegundua wanaume wengi waliooa kabila la kipare wanfuraha sana ndani ya ndoa zao.

Sifa kubwa zilizosemwa na wanandoa hawa wa kiume wa makabila toka kusini mpaka kaskazini, mashariki mpaka magharibi ni kama zifuatazo:

1. Wanawake wa kipare wanamheshimu sana mume na ni waaminifu sana

2. Sio wepesi wa hasira na hawana visasi

2. Wanawake wa kipare ni wakarimu sana kwa wageni wa pande zote mbili kwao na ukweni, na hata kwa marafiki!

4.Wanawake wa kipare wanajua sana kulea watoto katika maadili mema

5.Ni wachapakazi sana

Hizi ndizo sifa nilizoweza kuzifupisha kutokana na udadisi wangu.

HONGERA WAPARE, NATAMANI NINGEKUWA SIJAOA HUYU MCHAGA
WANGU!NINGEENDA UPARENI!

Thubutuuuu,we hawajui kukataa,hivyo ujue utasaidiwa na wengi tuu
 
WAPARE HAO WA TANZANIA AU WAWAPI? Mi nimekimbia huko nikaenda kwa wachaga ndo mama weee niliyo yakuta huko bora ningerudi nyuma
 
Kwa uzoef nilionao kwa wanawake was kaskazini ukiitoa tanga
Ni wenye tamaa ya pesa yupo radhi akuue kisa una million kumi Benki au mmejenga nyumba nzur.
Ni wabovu kitandani sijapata kuona.
Sorry!
 
mie naomba kujua sifa ya wanaume wa kipare - sitafuti ila naomba tu kuipata :smow:

Fungukeni - maana sifa nazozipata za ajabu ajabu tu

nje ya hizo sifa unazotaka na hayo mapungufu mnayobandika kama matangazo ya foma tukubaliane tu kuwa wapare ni kabila la wajanja siku nyingi tu tangu kabla ya enzi ya baba wa taifa.sitakuambia sifa hata moja maana siamini kama kuna sifa specific kwa wabantu.they are almost resembles. Hata ukienda south africa utakuta makabila ambayo mila zao zinafanana na za makabila ya east africa .na mwisho ukiona mti unapigwa mawe una kitu!
 
Back
Top Bottom