MTENDAHAKI
JF-Expert Member
- Mar 3, 2011
- 4,013
- 1,448
- Thread starter
- #181
Gefu@ hizo ni ufupisho tu, kwani zingine zipi zilizosahaulika mkuu!....hahahaaa na jilazimisha kuamini kama hizo ndo sifa na vigezo vya raha ya ndoa sioni hata kimoja chenye uhusiano na raha ya ndoa directly. Ninachoona hapa no kuna mwanamke Wa kipare mwenye sifa hizo umemtamani na umemchoka mkeo basi. wanawake kibao wanahizo sifa na zaidi na bado ndoa zao ni majanga na wengine hawana ila wanandoa bora.....
Last edited by a moderator: