ERoni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 52,477
- 119,191
Hizi ndio "tafiti" za "wasomi" wetu kiongozi...!!Seriously?
Yaani Wapare wooooooote wako kama hivyo ulivyoelezea?
You can't be serious!
Hizi ndio "tafiti" za "wasomi" wetu kiongozi...!!Seriously?
Yaani Wapare wooooooote wako kama hivyo ulivyoelezea?
You can't be serious!
.....Kwa "picha ya thamaki" mkuu..!
Hizi ndio "tafiti" za "wasomi" wetu kiongozi...!!
Hahahahahaha lol!!!! Ugali unaisha kila siku lakini "picha ya thamaki" ipo kila siku inasaidia kuleta shibe 🙂🙂 Chezeya Wapare Mkuu.
Hahahaha....! nimecheka sana!
..karibuni sana upareni, mle kande..!
Bwashe zamu yako imefika lol.
Kaaz kweykwey....
Hahaahhaahhaha! Haya vaathu nzoni kunu!
Kaskazini pamoto wewe! Wanawake bora ni kusini. Wabena, wahehe nakadhalika!
Hehehe! But vyote hivi bana havina uzito wowote. Tabia binafsi ya mtu ndio inaa uzito.
Nyamgluu hawa ni dada zangu, nawaheshimu sana na sitatia neno...!
Hahahaha....! nimecheka sana!
..karibuni sana upareni, mle kande..!
Nyamgluu hawa ni dada zangu, nawaheshimu sana na sitatia neno...!
Nani kakudanganya uku kwetu tunawaita chupi juu yakirinda hawana miko awo ata babaake analala nae kwao ruksa nani wao nakukuhakna tofauti
Kati ya kabila ambalo usithubutu kuoa ni hilo hapo:
1.Ni wafitini sana na wenye majungu wasiotaka maendeleo
2.Wanapenda sana ushirikina kupita kiasi na ushahidi ninao kwa wanawake zaidi ya kumi
3.Ukioa huko wakwe wanahamia kwako wote kule kwao wanahama
4.Hawapatani na majiran hata watendewe wema vipi
5.Wanapenda sana chini a.k.a michepuko
USHAURI: Usithubutu kukutwa utajuta maisha yako;;;;;;;;;;;;;
Nadhani hizo sifa zilizotolewa na MTENDAHAKI ni kinyume......
....na ugali kwa "thamaki" Mkuu Eli79
Bwashe zamu yako imefika lol.
Kaaz kweykwey....
Hahahaha....! nimecheka sana!
..karibuni sana upareni, mle kande..!