Ukitaka raha ya ndoa kaoe mpare

Ukitaka raha ya ndoa kaoe mpare

Binafsi, naunga mkono wale wanaosema uzuri au ubaya wa kabila fulani ni tabia binafsi. Tuna mifano mingi ya kabila tofauti tofauti, ambako kuna wanawake wenye tabia nzuri, lakini kwenye kabila hilo hilo kuna wenye tabia mbaya (kama zinavyoainishwa kwenye thread hii). Mimi nimeoa upareni karibu miaka 20 sasa tuko pamoja, ingawa amekulia hapa hapa mjini, sina tatizo lolote na mke wangu, kifupi tabia alizozitaja MTENDAHAKI, anazo. Am proud of her! Tutoe comment kiustaarabu, kuliko kuleta ushabiki na matusi yasiyo na sababu!

kwani akichepuka wadhani atakuja kukuambia nimechepuka take care
 
Kwa hiyo hao wapare ndo wanaokuloga? You can't be serious kabisa, tatizo nyie mna ushirikina akilini mwenu, ukiamka kichwa kinauma lazma umfikirie mtu flani kakuloga. Kwa Hilo watz tumekuwa maskini kabisa.

Kuna binadamu gan muda wote mlikua mnasalimiana na hata sherehe una mkaribisha then baada ya watoto kufaulu anakununia hata salam haitiki,vitu vingine hata haviitaji kwenda shule kuvijua
Kingine,wapare wenyewe kwa wenyewe hawapatani nenda Wilaya ya Mwanga mpare wa Ugweno na Usangi hawapatani wanadharauliana yaan wapare wana element nyingine ya sifa na majivuno
 
Kati ya kabila ambalo usithubutu kuoa ni hilo hapo:
1.Ni wafitini sana na wenye majungu wasiotaka maendeleo
2.Wanapenda sana ushirikina kupita kiasi na ushahidi ninao kwa wanawake zaidi ya kumi
3.Ukioa huko wakwe wanahamia kwako wote kule kwao wanahama
4.Hawapatani na majiran hata watendewe wema vipi
5.Wanapenda sana chini a.k.a michepuko
USHAURI: Usithubutu kukutwa utajuta maisha yako;;;;;;;;;;;;;
Nadhani hizo sifa zilizotolewa na MTENDAHAKI ni kinyume......

Naunga mkono kabisa mkuu,kuna rafiki angu kaoa mpare aiseh huyu shemeji angu kagombana na kila mwanamke mtaani yaani afu bila sababu za msingi zaidi ya chuki,fitna na wivu.
 
Last edited by a moderator:
Nimebahatika kutembelea sehemu mbali mbali zenye makabila tofauti Tanzania; Nimejitahidi kuwa mchunguzi kwa kushuhudia na kuongea na ndugu, jamaa na marafiki walio katika ndoa!Nimegundua wanaume wengi waliooa kabila la kipare wanfuraha sana ndani ya ndoa zao.

Sifa kubwa zilizosemwa na wanandoa hawa wa kiume wa makabila toka kusini mpaka kaskazini, mashariki mpaka magharibi ni kama zifuatazo:

1. Wanawake wa kipare wanamheshimu sana mume na ni waaminifu sana

2. Sio wepesi wa hasira na hawana visasi

2. Wanawake wa kipare ni wakarimu sana kwa wageni wa pande zote mbili kwao na ukweni, na hata kwa marafiki!

4.Wanawake wa kipare wanajua sana kulea watoto katika maadili mema

5.Ni wachapakazi sana

Hizi ndizo sifa nilizoweza kuzifupisha kutokana na udadisi wangu.

HONGERA WAPARE, NATAMANI NINGEKUWA SIJAOA HUYU MCHAGA
WANGU!NINGEENDA UPARENI!
hapa nina mnyakyusa najuta ndg yenu! sijui nifanyaje?yeye hata ktk offside anafunga tu magoli!
 
Huyu mwanzisha mada akajipange upya!! Of All wanawake wote wa kipare ninaowajua. Kwanza wivu wa kijinga na roho ya kwa nini, pili kuamrisha waume zao, kuwapoteza kabisa waume zao wasifirukute wala kukumbuka kwao, kumvumilia mwanaume ktk shida na raha lakini Once hela ikipatikana utaziona tru colors!, wepesi kuvua ile nguo ya ndani, ubahili.. The list is infinity........
 
Wapale hawafai wanapenda sana kumtawara mume, wanezidi wivu wa kijinga, wanapenda sana ushirikina (limbwata), wakorofi sana. wanaume wako safi wadada mmmmmmmh!!!
 
Back
Top Bottom