ERoni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 52,504
- 119,336
una takwimu au ni uzushi tu.acha kutusakama !unataka nikichumbia dadako nisifanikiwe?
U kishi we...!
una takwimu au ni uzushi tu.acha kutusakama !unataka nikichumbia dadako nisifanikiwe?
u kishi we...!
Kati ya kabila ambalo usithubutu kuoa ni hilo hapo:
1.Ni wafitini sana na wenye majungu wasiotaka maendeleo
2.Wanapenda sana ushirikina kupita kiasi na ushahidi ninao kwa wanawake zaidi ya kumi
3.Ukioa huko wakwe wanahamia kwako wote kule kwao wanahama
4.Hawapatani na majiran hata watendewe wema vipi
5.Wanapenda sana chini a.k.a michepuko
USHAURI: Usithubutu kukutwa utajuta maisha yako;;;;;;;;;;;;;
Nadhani hizo sifa zilizotolewa na MTENDAHAKI ni kinyume......
uo mgayo hena ye nekimtonjia natekosea quotation. Esi mgayo wako ni wa aa maguro etugaya kunu kitala.
hahaha..keba mndughu wangu. Ilo iguro letugaya liafwia uko.
Wacha waoane wao wenyewe, maana wanajuana
Asante kwa taarifa, ila kwa mimi sidhani kama kuna kabila baya au zuri. Utakapo angukia ni kama zali tu. Yaweza kuwa penyewe au sio penyewe. Nina jirani yangu ana mke wake muhehe, ana tabia nzuri sana. Na anazo sifa ulizotaja hapo juu.
Tatizo wafupi sana
hezuje virundu kunu.
Nimebahatika kutembelea sehemu mbali mbali zenye makabila tofauti Tanzania; Nimejitahidi kuwa mchunguzi kwa kushuhudia na kuongea na ndugu, jamaa na marafiki walio katika ndoa!Nimegundua wanaume wengi waliooa kabila la kipare wanfuraha sana ndani ya ndoa zao.
Sifa kubwa zilizosemwa na wanandoa hawa wa kiume wa makabila toka kusini mpaka kaskazini, mashariki mpaka magharibi ni kama zifuatazo:
1. Wanawake wa kipare wanamheshimu sana mume na ni waaminifu sana
2. Sio wepesi wa hasira na hawana visasi
2. Wanawake wa kipare ni wakarimu sana kwa wageni wa pande zote mbili kwao na ukweni, na hata kwa marafiki!
4.Wanawake wa kipare wanajua sana kulea watoto katika maadili mema
5.Ni wachapakazi sana
Hizi ndizo sifa nilizoweza kuzifupisha kutokana na udadisi wangu.
HONGERA WAPARE, NATAMANI NINGEKUWA SIJAOA HUYU MCHAGA
WANGU!NINGEENDA UPARENI!
akili za kuambiwa changanya na zakoHata mie bwana hao nimeambiwa kabisa niwaache co wazur
nikweli kabisa nakumbuka kuna mama moja mtu mzima wakipare nilimsaidia sana kabla cjaolewa kipindi alipojifungua both financially na socially. Cku ya harusi yangu kaka kuniteta kwa mdogo mamkwe wakumjua 'eti namhurumia huyu kijana huyu dada alikua nawaume wengi' na more stupid things. To hell with such mountanious tribes'
akili za kuambiwa changanya na zako
wanaume ni wabinafsi sana,wababe,mwanamke kwao hana thamani,wabahili vibaya mno. Ila watafutaji wazuri wa hela,kuzitumia ndio nongwa,bora afe njaa kuliko kula chakula cha 1500.
Ndo nshachanganya co wazur hao nina mifano niliyoona kwa macho yangu ndugu jamaa na marafiki wakifa kwa hao jamaa mmmmh bro mume anakufa mke anatuma ndugu zake waibe gar walipeleke upareni huko na kwenye msiba hataki kuwepo asa watu kweli hao