Ukitaka raha ya ndoa kaoe mpare

Ukitaka raha ya ndoa kaoe mpare

Kweli wewe ni fake knowledge! Eti wabovu usijumuishe mtu mmoja ukasema wote, labda huyo mkeo sijui demu wako ndio mbovu.of coz am not kaskaz bt this is not fair hata makabila wengne wapo wabovu pia
 
Kati ya kabila ambalo usithubutu kuoa ni hilo hapo:
1.Ni wafitini sana na wenye majungu wasiotaka maendeleo
2.Wanapenda sana ushirikina kupita kiasi na ushahidi ninao kwa wanawake zaidi ya kumi
3.Ukioa huko wakwe wanahamia kwako wote kule kwao wanahama
4.Hawapatani na majiran hata watendewe wema vipi
5.Wanapenda sana chini a.k.a michepuko
USHAURI: Usithubutu kukutwa utajuta maisha yako;;;;;;;;;;;;;
Nadhani hizo sifa zilizotolewa na MTENDAHAKI ni kinyume......

Nina miaka miwili naishi na hawa watu zero unaonekana unawajua vizuri sana hawa watu ur exactly rgt
 
Last edited by a moderator:
Nimebahatika kutembelea sehemu mbali mbali zenye makabila tofauti Tanzania; Nimejitahidi kuwa mchunguzi kwa kushuhudia na kuongea na ndugu, jamaa na marafiki walio katika ndoa!Nimegundua wanaume wengi waliooa kabila la kipare wanfuraha sana ndani ya ndoa zao.

Sifa kubwa zilizosemwa na wanandoa hawa wa kiume wa makabila toka kusini mpaka kaskazini, mashariki mpaka magharibi ni kama zifuatazo:

1. Wanawake wa kipare wanamheshimu sana mume na ni waaminifu sana

2. Sio wepesi wa hasira na hawana visasi

2. Wanawake wa kipare ni wakarimu sana kwa wageni wa pande zote mbili kwao na ukweni, na hata kwa marafiki!

4.Wanawake wa kipare wanajua sana kulea watoto katika maadili mema

5.Ni wachapakazi sana

Hizi ndizo sifa nilizoweza kuzifupisha kutokana na udadisi wangu.

HONGERA WAPARE, NATAMANI NINGEKUWA SIJAOA HUYU MCHAGA
WANGU!NINGEENDA UPARENI!

Kafanye upya utafiti wako.

Upo msemo usemao 'Ukimtongoza mke/demu wa kipare ukanyimwa, kaogee maji ya magadi'. Utoe nuksi!
 
Kafanye upya utafiti wako.

Upo msemo usemao 'Ukimtongoza mke/demu wa kipare ukanyimwa, kaogee maji ya magadi'. Utoe nuksi!

Hahahaa!haya mkuu lakini hayo maneno yanasemwa kwa kila kabila hata wa kusini wanao "niangusage, si sambi sako mwenyewe"
 
nje ya hizo sifa unazotaka na hayo mapungufu mnayobandika kama matangazo ya foma tukubaliane tu kuwa wapare ni kabila la wajanja siku nyingi tu tangu kabla ya enzi ya baba wa taifa.sitakuambia sifa hata moja maana siamini kama kuna sifa specific kwa wabantu.they are almost resembles. Hata ukienda south africa utakuta makabila ambayo mila zao zinafanana na za makabila ya east africa .na mwisho ukiona mti unapigwa mawe una kitu!

Shemeji naona umeandika kwa hasira kweli mti unaopigwa mawe ndio wenye matunda

basi sawa
 
kwa maoni yangu mke bora anategemea sana malezi ya wazazi na ucha mungu hizo habari za makabila ni story tu...miaka michache iliyopita tuliaminishwa kuwa wahaya ndio wanagawa papuche kama njugu na baadhi ya watu wakagwaya kuoa au kuolewa na wahaya but currently ushahidi unaonesha wanyakyusa na wahehe nao moto mkali, wakati huo huo kusini ya wamakonde na wazaramo nao wamo....wakati watu wakitajwa kwa ujumla wa makabila...ndani yao wapo wanawake safi watiifu wanaojua nini maana ya kuwa mke wanaheshimu na wanamwogopa muumba wao....study zinaonesha wanawake wa kutoka visiwani (pemba na unguja) wanadumu zaidi kwenye ndoa zao kuliko wa upande wa bara... ukitafakari kwa undani utagundua mlengo wa malezi ya staha na ucha mungu ndio sababu kuu ya wao kuhimili ndoa...embu ona hii..mara nyingi wanaume anaweza akavutiwa na shape ya mwanamke pale anapomwona akiwa amevaa kivazi cha kubana au kisketi kifupi anaweza kuendelea kudate nae hadi wakaoana but akishakamilisha ownership atakuwa hapendi kumwona mkewe akivaa vile vinguo vya kubana ------ au kuacha wazi mapaja na maziwa..simply ni kuwa muonekano ule wa kimaumbile kwa wanaume wengi unaleta tafsiri ya urahisi wa kutekwa kimapenzi na ni ishara ya kutokuwa mwoga kujamiiana kitu ambacho wanaume wengi hawapendi..namalizia kwa kusema ubora wa mwanamke wa kuoa unatokana na utashi wa kimalezi na hofu yake juu ya mungu na wala sio kabila.
 
Back
Top Bottom