Ukitaka mchumba mzuri/mwanana......

Ukitaka mchumba mzuri/mwanana......

Boflo

JF-Expert Member
Joined
Jan 20, 2010
Posts
4,383
Reaction score
4,412
Hiv mchumba mzur ni yule unampata kutoka
sehem gn?
1.Shuleni
2.Njian
3. Ofisin
4.Ndani ya basi /meli/ndege
5.Msibani
6.Aliyekosea namba ya simu
7-Kanisani/sehemu za ibada
8-Wa facebook /twitter/ jf
9-Harusin/Sherehe
10-....kwingneko
 
Hiv mchumba mzur ni yule unampata kutoka
sehem gn?
1.Shuleni
2.Njian
3. Ofisin
4.Ndani ya basi /meli/ndege
5.Msibani
6.Aliyekosea namba ya simu
7-Kanisani/sehemu za ibada
8-Wa facebook /twitter/ jf
9-Harusin/Sherehe
10-....kwingneko
JF ndo penyewe.
 
popote pale ilimradi nyoyo zenu zimependana na kila mmoja kuridhika na mwenzake.
 
Shuleni ndyo mambo yote,kwani mnapata fursa ya kusomana vizuri.
 
Chooni.. Pale nilipokosea mlango nikakuta nimeingia wa ME........

Sikujutia kosa langu..

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Shuleni ndyo mambo yote,kwani mnapata fursa ya kusomana vizuri.

fuatilia ni wangapi unaowafahamu walioana na wale waliokutana nao shuleni. Mimi nimeshuhudia wengi wa kukutana kwenye basi na kwenye vikao.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom