Ukitaka kujua Watanzania wengi hawapendi kazi, zunguka maofisini muda wa lunch

Wakianza kutoa malalamiko yaukosefu waajira utadhani watapiga kaz kwelikwel
 
Hili tatizo lipo huyu alieleta mada hii ninahakiki amefanya kautafiti kidogo anajua alichoandika ww kama unaleta ushabiki sawa hata huku mtaani kwenye vibarua vidogovidogo tunayaona watu wanataka hela sio kaz
Ndo Hali ilivo watu wanatanguliza pesa mbele wakati huduma mbovu....
 
Na wewe umesahau kipindi upo shule, ulikua unahaha ukiona muda wa kula unakaribia
ni kweli mkuu. .but kipindi hicho kumbuka tulikua tunaishi kwa Muongozo... Yan hata Kama hatupend kusoma lakini tunabanwa kutokana na Sheria za shule ...Ila huku makazini especially serikalini watu wanalindana Sana ... Mtu anaweza akatega hata week na bado mshahara uko pale pale ...tofaut kidogo na hz Taasisi au Kampuni binafsi
 
Agreed
...Malezi yanamchango mkubwa Sana sana
 
Kama mtu yupo ikulu na anaharibu imagine hizi ofisi za kawaida niaje, wale jamaa wa Ikulu kila siku wanakosea kuhusu teuzi na wakati wana mishahara mizuri nasikia na chai wanapiga nzito. Yani wanashindwa kuangalia tu kwa makini kazi kabla ya kuiweka public

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bandiko halieleweki linazungumzia nini? Kumlaumu mfanyakazi kwenda lunch au kupumzika muda wa lunch ni kukosa nidhamu...Ungekuwa na hoja kama ungesema labda wakienda lunch wanachelewa kurudi hivyo kupunguza tija. Muda wa lunch umewekwa mahususi kwa kwenda kula au ambae haendi basi ni sehemu ya kupumzika.Huo muda sio wa kufanya kazi labda mtu apende tu kulifukia magepu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…