Khantwe
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 59,410
- 119,112
Acha tu ibaki hivyo, kama hicho ndio kigezo cha mke mwemaWewe sio wife material. Na ole wako hiyo hela ununulie hata lotion
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha tu ibaki hivyo, kama hicho ndio kigezo cha mke mwemaWewe sio wife material. Na ole wako hiyo hela ununulie hata lotion
Anaongelea maisha ya uswazi. Hiyo 50K ukiingia nayo sagurasagura unarudi home na begi limejaa.Unaongelea 50k tzs au dollars?
Mkoba tuu ni 50k+tzs sasa ya kununua suruali au shati inatoka wapi?
Noma sana!Ukitaka kujua kuwa mpenzi wako ana sifa ya kuitwa mke/mume,fanya yafuatayo; Kama ulikuwa na wapenzi wengi mfano watano (5),chukua pesa kidogo labda 250,000,na kila mmoja mpatie 50,000 akaifanyie matumizi anayotaka.Baada ya hapo kila mmoja akupe mrejesho kwa ile fedha ameifanyia nini. Ikiwa watakupa mrejesho kama ufuatao....chukua hizi hatua:-
- Ametumia fedha yote kujiremba/matumizi yake binafsi.......piga chini
- Amesaidia ndugu zake/marafiki zake................piga chini
- Ametoa sadaka au kawapa watu wenye uhitaji................jaribu kumfikiria tena
- Ametumia kwenye pombe na fedha kuisha.............piga chini
- Ametumia kwenye mahitaji yake kiasi na nyingine akatumia kwenye mahitaji yako. mfano labda akakuletea shati,suruali n.k..................huyo weka ndani/oa (hana ubinafsi yuko tayari muwe mwili mmoja).
Ulimchelewesha mkuuDah! Siku za nyuma nilipata manzi mmoja.
Nilimweleza bajeti yake ya kununua nguo ni 270,000/=
Nilishangaa sana kuona katika hiyo hiyo pesa niliyompa akaninunulia t-shirt 1, shati 1, saa1 na jeans! Nilishangaa.
Sasa ninamkumbuka sana kwa ushauri wake.
Nimefikia nahitaji kuoa nikamtafuta; kumbe kashaolewa!
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hiyo mkuu,huwa unatumia zote bila kurudisha fadhila kwa aliyekupatia?Unaongelea 50k tzs au dollars?
Mkoba tuu ni 50k+tzs sasa ya kununua suruali au shati inatoka wapi?
Kwa nini mkuu?Hichi si kigezo kikubwa cha kumuweka mwanamke ndani kwa upande wangu
Sent using Jamii Forums mobile app
ha ha ha wewe sio waifu matirioMie naenda kusuka hela yote na inaweza kupelea nikakuomba uniongezee, nakuomba na ya wine na baadae nakuambia njoo unipeleke home au nitumie tena hela ya usafiri, yaani ndo utaniacha siku hiyohiyo ukinitega, yaani unipe hela kiduchu hivyo halafu utegemee mrejesho wa matumizi, khaaa, nitafanya kwa mume wangu tu, hata hivyo hela ya kuhongwa siwezi toa sadaka wala kumsaidia mhitaji
Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli mkuu,wakati huo unangojea Mungu akupe mke ni vizuri na wewe ujiwekee utaratibu wa kumpata;jisaidie naye atakusaidia.Atatimiza yote unayotaka ila akiingia ndani (ndoa) anabadilika kama kinyonga . Wewe omba tu Mungu akupe mke mwema (kumbuka mke mwema halindwi ila hujilinda )
Sent using Jamii Forums mobile app
Tunapima kwanza uzalendo wakoYaani pesa yenyewe 50000 halafu hapohapo na wewe unataka suruali na mashati. Si heri ungeacha tu kunipa
Wengi ambao hawajaoa/kuolewa kuna sehemu watakuwa wamekosea katika ujana wao.Kuoa na kuolewa ni mipango ya Mungu ndio maana hatujui tutaolewa au tutaoa nani..
izo zingine ni mbwembwe tu, kama ndo fomula hio basi wengi wangekua na ndoa, lakini cha kustaajabisha akina Lorraine fine Ass ndo wanaolewa
kweli kabisa anunue hilo shati huko ,Chenji aniletee nikajirembeeJesus, yaani unipe pesa halafu nikakununulie tena shati? Si ukate hukohuko ukanunue seeeh...!
Sent using Jamii Forums mobile app
ha ha ha wewe sio waifu matirio
Haswaaakweli kabisa anunue hilo shati huko ,Chenji aniletee nikajirembee
Sent using Jamii Forums mobile app
Wengi ambao hawajaoa/kuolewa kuna sehemu watakuwa wamekosea katika ujana wao.