Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 29,351
- 40,225
Maisha si marahisi hivi,ukitaka uchapiwe mke/mpenzi shindwa kumuhudumia.
Kuna dada mmoja tuko naye mtaa mmoja alikuwa anajiheshimu kweli kwenye ndoa yake, pamoja nakujaliwa sifa zote zinazoweza kumshawishi mwanaume yeyote.
Kutokana na mambo ya kiuchumi kuyumba ndani ya familia, mzee mwenye mali ameshindwa kuhudumia kwa asilimia zote mahitaji ya familia. Na mbaya zaidi kuna haina fulani ya maisha alikuwa alishayatengeneza, cha kushangaza zaidi siku za karibuni huyu mdada amebadilika na kama una dau la kueleweka, anakusikiliza. Mume amekuwa hana sauti ndani, zaidi ya kushindia pombe na ugoro ili kuondoa mawazo.
Kwa hali hii, mabaharia wenzangu nawashauri tupambane kweli kweli hata kubeba zege ili warembo wetu waendelee kutupa heshima ndani.
Kuna dada mmoja tuko naye mtaa mmoja alikuwa anajiheshimu kweli kwenye ndoa yake, pamoja nakujaliwa sifa zote zinazoweza kumshawishi mwanaume yeyote.
Kutokana na mambo ya kiuchumi kuyumba ndani ya familia, mzee mwenye mali ameshindwa kuhudumia kwa asilimia zote mahitaji ya familia. Na mbaya zaidi kuna haina fulani ya maisha alikuwa alishayatengeneza, cha kushangaza zaidi siku za karibuni huyu mdada amebadilika na kama una dau la kueleweka, anakusikiliza. Mume amekuwa hana sauti ndani, zaidi ya kushindia pombe na ugoro ili kuondoa mawazo.
Kwa hali hii, mabaharia wenzangu nawashauri tupambane kweli kweli hata kubeba zege ili warembo wetu waendelee kutupa heshima ndani.