Nadharia hizoNimefuatilia ukitaka uishi maisha ya raha ya ndoa oa mwanamke aliezalishwa na kuumizwa na kuachwa huyu atakua anajua maisha, pia mvumilivu. Ukitaka umloge mchukue na mwanae umlee na umpende uta-enjoy sana kuliko ambao wa geti kali
Kwanini wewe unabisha??Kwanini huwa mnakimbilia kuwa jamaa atakuwa anapiga?
Kuna Dada nilikuwa na piga miaka ya nyuma..Kwanini huwa mnakimbilia kuwa jamaa atakuwa anapiga?
Siraha ya mwanamke pekee ni kumpenda tu.....Kwanini wewe unabisha??
Kwa sababu hawara hatongozwi!Kwanini huwa mnakimbilia kuwa jamaa atakuwa anapiga?
Angalia asije akawa kakuendea kwa wataalam.Siraha ya mwanamke pekee ni kumpenda tu.....
Juzi nilitaka kuchepuka lakini nikiwa njiani kuelekea eneo LA tukio ghafra nafsi ikaanza kunisuta.....why nimsaliti akati wife anashow love sana kwangu....kiukweli nilirudi home
Hapana mkuu...maana kama tuna ka ugomvi huwa nazitwanga bila wasi wasiAngalia asije akawa kakuendea kwa wataalam.
Sijabisha,ila nimeuliza kwasababu wanaume wengi hukimbilia kwenye point kuwa single mother hawezi akaacha kufanywa na baba mtoto wakat sio wote. Inategemea na mazingira walioachana..Kwanini wewe unabisha??
Hahahaha au ' Mahawara hawaachani'...Wanaachana inapobidi sio kila single mother analalwa na baba mtoto wake baada ya kuachanaKwa sababu hawara hatongozwi!
Ni uvivu tu Wa kufiri Wa washkaji....Mimi Nina binti nilizaa nae lakini mpaka Leo sijawahi kuona paja lake......Sijabisha,ila nimeuliza kwasababu wanaume wengi hukimbilia kwenye point kuwa single mother hawezi akaacha kufanywa na baba mtoto wakat sio wote. Inategemea na mazingira walioachana..