Bila bila
JF-Expert Member
- Dec 20, 2016
- 21,490
- 37,783
LHRC walikuwa tayari kugharamia kila kitu lakini Nape na Ndugai wakagoma.Inawezekana leo katokea mfadhili wa kulipia hizo gharama na sasa hivi tanzania ni matajiriii sana
LHRC walikuwa tayari kugharamia kila kitu lakini Nape na Ndugai wakagoma.Inawezekana leo katokea mfadhili wa kulipia hizo gharama na sasa hivi tanzania ni matajiriii sana
Usifananishe Mr Bin na hizo watu ,kuliko niangalie bunge heri niingalie pornoKwa bunge hili ni bora hata nitafute Filamu za Mr Bean niangalie
Wakiongozwa na jiweLHRC walikuwa tayari kugharamia kila kitu lakini Nape na Ndugai wakagoma.
Wanadhani watu walikuwa wanaangalia bunge laivu ili spika kuuza sura na kuisifu serikali.Nimeona kwenye mitandao mbalimbali watu wakianza kusifia serikali ya awamu hii kuruhusu bunge live kama njia moja wapo ya kusahihisha makosa yaliyokuwa yanafanywa na serikali ya "Mwendazake".
Jambo ambalo pengine hao wasifiaji wanatakiwa kuelewa kama kweli "hawajatumwa" kuwa kilichosababisha bunge kurudishwa "live" ni baada ya kubakia wao tu bungeni (wanalumumba) na kwamba hawawezi kuibua hoja zenye mashiko au kuikosoa serikali zaidi ya kumsifia Mh. Rais.
Kwa msemo wa Kiswahili ni kwamba wameruka mkojo na kukanyaga, hakuna jipya kwa ufup