Nimeona kwenye mitandao mbalimbali watu wakianza kusifia serikali ya awamu hii kuruhusu bunge live kama njia moja wapo ya kusahihisha makosa yaliyokuwa yanafanywa na serikali ya "Mwendazake".
Jambo ambalo pengine hao wasifiaji wanatakiwa kuelewa kama kweli "hawajatumwa" kuwa kilichosababisha bunge kurudishwa "live" ni baada ya kubakia wao tu bungeni (wanalumumba) na kwamba hawawezi kuibua hoja zenye mashiko au kuikosoa serikali zaidi ya kumsifia Mh. Rais.
Kwa msemo wa Kiswahili ni kwamba wameruka mkojo na kukanyaga, hakuna jipya kwa ufupi.
Jambo ambalo pengine hao wasifiaji wanatakiwa kuelewa kama kweli "hawajatumwa" kuwa kilichosababisha bunge kurudishwa "live" ni baada ya kubakia wao tu bungeni (wanalumumba) na kwamba hawawezi kuibua hoja zenye mashiko au kuikosoa serikali zaidi ya kumsifia Mh. Rais.
Kwa msemo wa Kiswahili ni kwamba wameruka mkojo na kukanyaga, hakuna jipya kwa ufupi.