SIYO TPA tu mkuu ambako Mwakyembe amekuwa akifanya ufisadi. Mwakyembe amekuwa akiwatumia ndugu na jamaa zake kuchota pesa sehemu nyingi za taasisi zilizo chini ya wizara ya uchukuzi. Kuna ndugu yake pale Wizarani anaitwa Tumpe Mwaijande, Huyu mama ni Director wa Maritime safety and security.
Mwakyembe amekuwa akimtumia huyu mama kukamilisha ufisadi wake. Huyu Mama ni mpuuzi tu. Miaka ya 2003, huyu mama alikuwa na scandal ya kuuza vyeti vya mabaharia pale wizarani. Lakini Baada ya Mwakyembe kuingia pale alimpandisha cheo huyu mama fisadi kwa sababu tu wanatoka sehemu moja. Hiyo ya hali ya hewa kuchafuka pale wizari ni kweli kabisa mkuu, Huyu MWAKYMBE alikuwa hashirikiana na watendaji waaandamizi wenzake.
Alijifanya yeye anajua sana, kumbe ilikuwa ni mbinu yake ya kuficha ufisadi wake. Kuna tetesi kuwa Naibu waziri wa Uchukuzi alitembelea moja ya taasisi za wizara hiyo, baada ya kuambiwa kero na changamoto zilizokuwa zikiwakabiri wafanyakazi wa taasisi hiyo ya umma, Dk. Tizeba aliahidi kuzitafutia kero ufumbuzi kero hizo. Lakini cha kushangaza mwakyembe aliivyopata taarifa ya ziara ya Tizeba kwenye taasisi hiyo, Mwakymbe alitoa maneno ya Kejeli kwa Dk. Tizeba akisema yeye ndo waziri, Dk. Tizeba hana uwezo wa kuwatatulia wafanyakazi kero zao. "Hayo aliyoahidi alikuwa akifurahisha nafsi yake". Na kweli hakuna chochote kilichofanyika kwenye taasisi hiyo.
Mwakyembe Fisadi tu. Ila alikuwa akitumia media ili aonekane anafanyakazi, Lakini ukweli uliopo ni kwamba TPA, TAA, SUMATRA amekuwa akijichotea pesa. Alioondosha uongozi wa taasisi hizi na kuweka watu wake ili kufanikisha ufisadi wake: Huyu nifisadi anayepaswa kuchunguzwa.