nguo yenye rang nyeupe ni nyeupe tu, hata kama ikichafuliwa na matope {ninyi} bado itaendelea kuitwa nguo nyeupe.
Mnataka kulazmisha mlima kuwa kichuguu,
kamwe hata mje na mastor ya kujifaragua ya kila aina kumuhusu JEMBE MWAKYEMBE, bado ubora na uwezo wake unaelezeka na kubainishwa kila mahali.Ila ndo niny alowadhibit kwa madili yenu ya kishenz na hatmaye kuja na POROJO ZA KIIN MACHO KAMA HIZO.
Nb\:ungefunguka kipind bado hajaamishwa ungeonekana wa maana na una nia nzur ya kupinga matumiz mabaya madaraka, lakin ukitubainishia ya MWAKYEMBE kwa sasa tunaita haya ni MAJUNGU\UMBEA usio na tija kwetu