HIMARS
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 73,254
- 103,407
ukweli huo
Dada yangu kasoma Malaysia anauza duka now
| 1. | China (Beijing, Shanghai, Jiangsu, Zhejiang) | 578.7 |
| 2. | Singapore | 556.3 |
| 3. | Macao | 542.3 |
| 4. | Hong Kong, China | 530.7 |
| 5. | Estonia | 525.3 |
| 6. | Japan | 520.0 |
| 7. | South Korea | 519.7 |
| 8. | Canada | 516.7 |
| Taiwan | 516.7 | |
| 10. | Finland | 516.3 |
| 11. | Poland | 513.0 |
| 12. | Ireland | 504.7 |
| 13. | Slovenia | 503.7 |
| United Kingdom | 503.7 | |
| 15. | New Zealand | 502.7 |
| 16. | Netherlands | 502.3 |
| Sweden | 502.3 | |
| 18. | Denmark | 501.0 |
| 19. | Germany | 500.3 |
| 20. | Belgium | 500.0 |
| 21. | Australia | 499.0 |
| 22. | Switzerland | 498.0 |
| 23. | Norway | 496.7 |
| 24. | Czechia | 495.3 |
| 25. | United States | 495.0 |
| 26. | France | 493.7 |
| 27. | Portugal | 492.0 |
| 28. | Austria | 491.0 |
| 29. | Latvia | 487.3 |
| 30. | Russia | 481.7 |
| 31. | Iceland | 481.3 |
| 32. | Lithuania | 479.7 |
| 33. | Hungary | 479.3 |
| 34. | Italy | 477.0 |
| 35. | Luxembourg | 476.7 |
| 36. | Belarus | 472.3 |
| 37. | Croatia | 471.7 |
| 38. | Slovakia | 469.3 |
| 39. | Israel | 465.0 |
| 40. | Turkey | 462.7 |
| Ukraine | 462.7 | |
| 42. | Malta | 459.0 |
| 43. | Greece | 453.3 |
| 44. | Serbia | 442.3 |
| 45. | Cyprus | 438.0 |
| 46. | Chile | 437.7 |
| 47. | United Arab Emirates | 433.7 |
| 48. | Malaysia | 431.0 |
| 49. | Romania | 428.0 |
| 50. | Bulgaria | 426.7 |
| 51. | Moldova | 424.3 |
| 52. | Uruguay | 423.7 |
| 53. | Brunei | 423.0 |
| 54. | Montenegro | 422.0 |
| 55. | Albania | 419.7 |
| 56. | Jordan | 416.0 |
| Mexico | 416.0 | |
| 58. | Costa Rica | 414.7 |
| 59. | Qatar | 413.3 |
| 60. | Thailand | 412.7 |
| 61. | Colombia | 405.3 |
| 62. | Kazakhstan | 402.3 |
| Azerbaijan | 402.3 | |
| 64. | Bosnia and Herzegovina | 402.3 |
| 65. | Peru | 401.7 |
| 66. | Brazil | 400.3 |
| 67. | North Macedonia | 400.0 |
| 68. | Argentina | 395.0 |
| 69. | Georgia | 387.0 |
| 70. | Saudi Arabia | 386.0 |
| 71. | Indonesia | 382.0 |
| 72. | Lebanon | 376.7 |
| 73. | Morocco | 368.0 |
| 74. | Panama | 365.0 |
| 75. | Kosovo | 361.3 |
| 76. | Philippines | 350.0 |
| 77. | Dominican Republic | 334.3 |
Kwani hua hawarudi na vyeti au?Kuna jirani yangu nae kijana wake alikumbwa na upepo wa kisulisuli wa kwenda kusoma Malaysia. Tangu amerudi ni zaidi ya miaka sita yupo yupo tu. Amebaki nyumbani kutumwa mafuta ya kupikia ya kupima kwa kikombe. Ni aibu ati. Huko Malaysia hapana aiseeh!
Sent using Jamii Forums mobile app
Alifanyaje hebu nipe maujanja nami nikapige hata M.D japo nimesoma HKL[emoji23][emoji23][emoji23]Kuna mshkaji namfahamu alisoma art bongo saivi yupo India Anapiga Civil engineering [emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaaaa Mzee wa BombayMleta mada acha uchochezi😀😀😀 kipindi tumemaliza kidato cha sita kuna jamaa yetu mmoja mayokeo yake hayakuwa mazuri kupata admision bongo, basi familia ikajipiga piga kupitia madalali wa elimu mjini wakampatia chuo india ebwana siku anaondoka wazazi wa jamaa walituita tumsindikize yani full mbwebwe jamaa akaona kayapatia maana.mda ana.ondoka.vyuo tz havijatoa admisiom bado kwaiyo akajiona.mjanja akaenda uko india kusoma siye tukabaki tz yetu
Jamaa karudi toka india kafikiankupaka rangi kucha wadada na kuuza mawigi na kushimda salon za kike alafu kidume yani sielewagi hii ndio degree ya accountbaliyoenda somea china au ajabu hataki kabisa mawasiliano na sisi yeye mpaka.wazazi wake tukiwauliza issue za kijana wao hawataki kabisa sema utasikia yupo tu na shughuli zake kakataa ajiriwa kamua jiajiri kasema kuajiriwa utumwa mwaka wa kumi huu na zaidi tangu tumalize vyuo jamaa bado msela tu
Jamaa tuliosoma nao wanafamilia nk yeye yupo yupo tu mzee wa bombay tunamwita
Hongera Sana mkuu 👏👏👏Nawaombea mbadilishe fikra juu ya watu wanaojaribu kupiga hatua kupitia elimu, kutafuta maisha nje ya nchi, kufanya biashara.Jaribuni kuwa positive na mfanye kazi kwa juhudi ili kujiletea heshima. Hivi karibuni narudi nyumbani kutoka Asia, sitakuwa na hela kubwa lkn nakuja na technolojia ya kutumia rice straws kutengeneza product muhimu huko nyumbani,pia Professor wangu kakubali kuja tuanzishe farm ya zao flani,tayari ana mashamba katika nchi mbili jirani. Mnaobeza endeleeni kubeza ila mkaa bure si sawa na.........
Mie hata sijui,nikimuona nakasirika sana. Kawa kama zezeta fulani. Kapita mbele yangu hapa muda huu tu,anaelekea dukani.Kwani hua hawarudi na vyeti au?
Sent from my SM-G960F using Tapatalk
Marehemu Mengi,Ali Mfuruki walisoma nje ya nchi, Bosi wa Simba alisoma nje ya nchi, na wengine wengi.Point yako unataka tusitoke kwenda kusoma nje ya nchi kwa sababu hatutakuwa matajiri? hivi utajiri wew unaupimaje? Unataka kila mmoja awe tajiri wa kiwango cha Dewji? Sio kila mtu anayekwenda kusoma nje, anaenda kutafuta maisha, wengine wanaletwa na serikali/mashirika ya Dini n.k ili kuja kujifunza stadi na maendeleo ya nchi nyingine na ndio hao wanaoshika nyazifa mbalimbali.Sawa! Ila kumkuta diaspora tajiri kazi kweli kweli.Zaidi ni wale wamarekani weusi tu ndio waliotajirika kwa michezo na wale walioenda kucheza soka ulaya wasomi wanahesabika.Wasomi wetu wa nje walichofanikiwa ni kuoa wazungu na siku hizi wachina, sio pesa.Hakuna diaspora anaewazidi utajiri matajiri wa Afrika.Utapopinga unitajie na wasomi waliotajirikua huko ng'ambo wanaotambulika hapa bongo kama mengi, bakhresa, more nk
Ebu nikuulize ndugu yangu, je, wew umewahi kwenda marekani ukafanikiwa? au umewahi kujaribu kucheza mpira kama Samata ili uwe tajiri kwa sababu ni dhahiri unazijua njia rahisi za kufanikiwa kuwa tajiri. Unaposema wasomi wetu wa nje, wew unakuwa katika kundi gani? Eti wasomi wetu, ulimtuma nani akakusomee? kila mtu anaamua kuchukua hatua juu ya maisha yake mwenyew,huna muda wa kuanza kumu evaluate kwa sababu hakusaidii chochote, ni vema ujiangalie wew uliposimama, unachokifanya, kama unaridhika nacho na unatimiza malengo yako,inatosha. AnywaySawa! Ila kumkuta diaspora tajiri kazi kweli kweli.Zaidi ni wale wamarekani weusi tu ndio waliotajirika kwa michezo na wale walioenda kucheza soka ulaya wasomi wanahesabika.Wasomi wetu wa nje walichofanikiwa ni kuoa wazungu na siku hizi wachina, sio pesa.Hakuna diaspora anaewazidi utajiri matajiri wa Afrika.Utapopinga unitajie na wasomi waliotajirikua huko ng'ambo wanaotambulika hapa bongo kama mengi, bakhresa, more nk
Nitajie tu diaspora alietajirika huko ulay.We we kichwa chako kigumu kuelewa.Mbona kila mwaka serikali inapeleja watu wakasome nje, je huko sio kutumwa? Ulitakiwa uwelewe falsafa ilionyuma ya hili andiko na sio kulipuka na Mifano isio na uhalisia.Uhalisia ni kwamba milango ya utajiri ulaya kwa wageni ni finyu kulinganisha na Afrika labda kwenye sekta ya michezo na muziki.Ebu nikuulize ndugu yangu, je, wew umewahi kwenda marekani ukafanikiwa? au umewahi kujaribu kucheza mpira kama Samata ili uwe tajiri kwa sababu ni dhahiri unazijua njia rahisi za kufanikiwa kuwa tajiri. Unaposema wasomi wetu wa nje, wew unakuwa katika kundi gani? Eti wasomi wetu, ulimtuma nani akakusomee? kila mtu anaamua kuchukua hatua juu ya maisha yake mwenyew,huna muda wa kuanza kumu evaluate kwa sababu hakusaidii chochote, ni vema ujiangalie wew uliposimama, unachokifanya, kama unaridhika nacho na unatimiza malengo yako,inatosha. Anyway
Utajiri sio tu pesa,hata skills ukibeba kutoka ng'ambo kisha ukaitekeleza nyumbani mfano usome historia ya mzee Mengi,kazi alizowahi kufanya ulaya na baada ya kurudi alifanya nini, Dewji skills alitoa wapi za kusimamia miradi ya baba yake ikawa mikubwa ivo, Marehemu Mfuruki,Dangote ni mnigeria ila Bachelor yake kasomea Misri ( najua ungekuwa mnigeria kipindi hicho,ungemcheka kwamba ameenda kusoma Misri hamna hela,amerudi bila hela), Mike Adenuga amesoma marekani kisha akarudi kwao Nigeria, Strive Masiyiwa mzimbabwe huyu kasoma Scotland kabla ya kurudi nyumbani. Ukitoka nje, kama sio kusoma hata kutafuta maisha,unafunguka akili, na kwa sababu wenzetu wamepiga hatua kubwa kutuzidi, utapata fursa nyingi za kibiashara, kikazi, kijamii, kielimu, social network n.k
Kitu kilichonishangaza, nimekuta pm wadau watatu wanauliza namna ya kupata nafasi ya kuja kusoma China, so guys ,acheni unafiki ili mpone ujinga.
Kila mmoja aelewe anavyojuaNitajie tu diaspora alietajirika huko ulay.We we kichwa chako kigumu kuelewa.Mbona kila mwaka serikali inapeleja watu wakasome nje, je huko sio kutumwa? Ulitakiwa uwelewe falsafa ilionyuma ya hili andiko na sio kulipuka na Mifano isio na uhalisia.Uhalisia ni kwamba milango ya utajiri ulaya kwa wageni ni finyu kulinganisha na Afrika labda kwenye sekta ya michezo na muziki.
Naunga mkono hoja,
Kama wazazi au walezi inabidi uliangalie suala la kumpeleka mtoto hayo maeneo china cjui india maana zaidi zaidi vijana wanatamani kwenda huko kwa ajili ya kupata sehem za kupigia picha[emoji16] Ila ukirud bongo kama wewe ni graduater wa hivyo vyuo basi ujiandae kujiajir au uwe na connection nzito
Sent using Jamii Forums mobile app
TanzaniaSasa India huwa hawekwi kwa sababu wanacheat sana na Saudi Arabia hapo wamehonga sana
PISA 2018 – Average Score of Mathematics, Science and Reading:
1. China (Beijing, Shanghai, Jiangsu, Zhejiang) 578.7 2. Singapore 556.3 3. Macao 542.3 4. Hong Kong, China 530.7 5. Estonia 525.3 6. Japan 520.0 7. South Korea 519.7 8. Canada 516.7 Taiwan 516.7 10. Finland 516.3 11. Poland 513.0 12. Ireland 504.7 13. Slovenia 503.7 United Kingdom 503.7 15. New Zealand 502.7 16. Netherlands 502.3 Sweden 502.3 18. Denmark 501.0 19. Germany 500.3 20. Belgium 500.0 21. Australia 499.0 22. Switzerland 498.0 23. Norway 496.7 24. Czechia 495.3 25. United States 495.0 26. France 493.7 27. Portugal 492.0 28. Austria 491.0 29. Latvia 487.3 30. Russia 481.7 31. Iceland 481.3 32. Lithuania 479.7 33. Hungary 479.3 34. Italy 477.0 35. Luxembourg 476.7 36. Belarus 472.3 37. Croatia 471.7 38. Slovakia 469.3 39. Israel 465.0 40. Turkey 462.7 Ukraine 462.7 42. Malta 459.0 43. Greece 453.3 44. Serbia 442.3 45. Cyprus 438.0 46. Chile 437.7 47. United Arab Emirates 433.7 48. Malaysia 431.0 49. Romania 428.0 50. Bulgaria 426.7 51. Moldova 424.3 52. Uruguay 423.7 53. Brunei 423.0 54. Montenegro 422.0 55. Albania 419.7 56. Jordan 416.0 Mexico 416.0 58. Costa Rica 414.7 59. Qatar 413.3 60. Thailand 412.7 61. Colombia 405.3 62. Kazakhstan 402.3 Azerbaijan 402.3 64. Bosnia and Herzegovina 402.3 65. Peru 401.7 66. Brazil 400.3 67. North Macedonia 400.0 68. Argentina 395.0 69. Georgia 387.0 70. Saudi Arabia 386.0 71. Indonesia 382.0 72. Lebanon 376.7 73. Morocco 368.0 74. Panama 365.0 75. Kosovo 361.3 76. Philippines 350.0 77. Dominican Republic 334.3
Mabinti waliosoma Asia wakirudi wanakua chuma chakavu