mimi sioni tatizo likowapi? kwa sababu taratibu za utumishi wa umma zinarusu waziri au katibu mkuu kupewa responsibility alllowance kati ya 100,000 hadi 200,00 kwa siku; kwa hiyo ukichukua 200,000 x siku 90 za bajet utapata tshs=18,000,000 sasa tatizo liko wapi? kwanza jairo ni mzalendo,maana kati ya mil 18 yeye amehukua mil 7 tu? ama kwa hakika anastahili sifa; viva Jairo