Mnafanya kazi nzuri shida yenu kubwa ni kupelekeshwa kama kondoo anaeswagwa kwenda machungani yaani nyie ni "NDIO MZEE". siku niliposhuhudia mkurugenzi akiwatoa hofu viongozi kuhusu kujaza watu ukumbi fulani alipokuja kiongozi fulani kwamba watatumika walimu na ni kweli simu ilipigwa hapohapo agizo likatolewa siku fulani walimu wote wa halmashauri wawepo ukumbi fulani, waambie kutakua na chai na nauli. Aisee nilichoka siku ile na kweli siku husika ilipofika ukumbi ulifurika walimu mpaka haukutosha, since then walimu huwa naona ni watu wasiojielewa though ni kweli wanafanya kazi nzuri ya kututoa ujinga.